Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

Wewe na huyo mengi anzisheni kikundi cha taarabu tujue moja,hapo mtakua huru kurusha mipasho live redioni,tv nk.

Mzee mzima na mambo ya kike,sasa huwezi kumtofautisha mengi na mariam wa migomba wa tbc au gea habib kwa mipasho,kwa mipasho wanatoka pasu.
mbona nawe kama una mipasho mkuu
 
Bwana mmoja alifeli darasa la saba mara tatu leo hii ni profesa muhongo..
Ina maana huyu alibadili jina?
Case yake na ya mwigulu si zinafanana sasa?
 
Bwana mmoja alifeli darasa la saba mara tatu leo hii ni profesa muhongo..
Ina maana huyu alibadili jina?
Case yake na ya mwigulu si zinafanana sasa?
Ndio zinafanana hata wengi waliotimka makazini walitumia majina ya watu kusomea, sasa mawaziri wakiachwa ujue kuna walakini.
 
Ndio zinafanana hata wengi waliotimka makazini walitumia majina ya watu kusomea, sasa mawaziri wakiachwa ujue kuna walakini.
Lakini hii issue ya kurudia primary na kuchukua jina la mtu sidhani kama ni kosa kisheria
 
Tanzania ni taifa lime jengwa kwenye msingi wa hadaa April 26 year of our Lord 1964.
 
Back
Top Bottom