Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

Itabidi tuwatafute ndugu zake tuone majina yao kama yana Muhongo. Maana kuitwa muhongo ukavumilia sio kitu cha kawaida
 
Hii nchi ina watu wengi waioiba majina ya watu: Muhongo, Mwigulu, Mulugo, to mention few, the list goes on.
 
Shikamoo Kaka Mengi,The Proffeseri alidondokea pua Mara 3 darasa la saba.
 
Mengi aache usengerema na chuki zake binafsi kwa muhongo,kanyimwa vitalu atulie,anakua na mambo ya kiswahili kama ya waimba taarabu,hovyo kabisa mengi,ana mambo ya kishangingi sana.

Mengi haridhiki kabisa, vitalu alivyopewa na Ole Sendeka bado anataka n vya gesi n mafuta. Mengi kweli ana mengi.
 
Mimi nadhani huo ni ushuhuda!! What if angefeli na kukata tamaa....Mengi angetoa wapi headline????
 
Mzee wangu Mengi wewe ni Level ya juu sana katika nchi hii,hakuna mtu mwenye uwezo wa kukusumbua kwa lolote,
Kama kweli hii ni account yako naomba uelewe wakati umefika ukae pembeni, na ujiondoe kabisa kwenye haya maigizo!
na kama kuna mtu anatumia account bila wewe kusoma anayo post tafadhali futa kabisa hiyo account,
kama ni account feki naomba unisamehe sana!

attachment.php
 

Attachments

  • 12316543_933924016656490_7481231179365624182_n.jpg
    12316543_933924016656490_7481231179365624182_n.jpg
    21.9 KB · Views: 7,819
Mkuu labda jamaa alichokosea hapo ni kipi?
Mbona naona statement iko sawa tu, kama alichoongea ni ukweli then tatizo liko wapi?
 
Imekaa kimajungu majungu. "Bwana mmoja.." Ndio nini sasa. Kama ni kweli aseme jina kwa uwazi. After all hii ni utoto.
Kwani huyu bwana ni nani? Au ingefaa asema 'Profesa mmoja' kwa kuwa tumeshaambiwa 'huyo bwana mmoja' sasa ni profesa?

Kama huu ni utoto, mbona kuna 'Profesa mmoja' 'alimdhalilisha' mbunge mwenzake kwa kusema bungeni kwamba alipata 'division five' kwenye mtihani yake ya form six na watu mkashangilia?
 
Kuna bwana mmoja alianza shughuli zake za biashara kwa taaabu sana kwani kuna wakati alikuwa anafunga ashkilimu(ice cream) na karanga lakini kwa sasa ni bilionea na amefanikiwa sana katika biashara na maisha kwa ujumla wake. Tofauti ni nini na huyo bwqna ambaye kwa sasa ni profesa?
 
hivi hii ni account ya Mzee Mengi kweli? Au account yake anaitumia Mrs. Mama Wawili!
 
Kuna bwana mmoja alianza shughuli zake za biashara kwa taaabu sana kwani kuna wakati alikuwa anafunga ashkilimu(ice cream) na karanga lakini kwa sasa ni bilionea na amefanikiwa sana katika biashara na maisha kwa ujumla wake. Tofauti ni nini na huyo bwqna ambaye kwa sasa ni profesa?

Na kwa bahati mbaya sasa ni mkwepa kodi mzuri tu Na majuzi JPM alimtumbua
 
Back
Top Bottom