safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,314
- 18,148
Kwa mujibu wa hadhi za mtume nilizokutolea umekubali kwamba swali linaweza kujibiwa kwa swali au haukubali kama ilivyo kawaida ya masalafy kuwa wajeuri wanapopambanukiwa na hoja kutoka kwa watu ambao hawakubaliani nao katika mambo fulani ?Yni nishakujua kua Elimu yko ni ndogo yle ya Msingi huyajibu
Kama kweli wewe ni salafy pinga hapa hizo hadithi useme tena kwamba swali halijibiwi kwa swali,unao uanaume huo ndugu yangu ?
Nilitaka nikuweke sawa kuhusu kujibu swali kwa swali kwamba huo ni utaratibu upo hata kama unakana kukubali mimi sijali hilo ndugu yangu.
Najua moyoni utakiri kwamba daaah kumbe swali hujibika kwa swali ila hapa huwezi kukubali kwa sababu lengo lako kubwa ni kushinda hapa.
SHEIKH ABUL KHATWAAB ABDALLAH HUMEID حفظه الله

