Ujumbe kwa Waislamu wenzangu

Ujumbe kwa Waislamu wenzangu

HII YA KUTUKANA NI BAADA YA KUJIONA MLIKUWA NA HAKI YA KUCHINJA ASIYE MUISLMU. ZAMA ZIMEBADILIKA KISU KWA KWA KISU BOMU KWA BOMU TUSI KWA TUSI.AMANI KWA AMANI.
 
Kweli kabisa na hii ndio njia bora kabisa na mwendo wa waja wema waliiotangulia , hata mimi nimejifunza nikiona mtu haelimiki ,hana adabu na ameanzisha lugha chafu na matusi basi ni wa kumuacha tu maana vitimbi vyake haviwezi kubadilishwa chochote kile na kanuni ninayo ifuata ni hii "Show forgiveness , enjoin what is good and turn away from the ignorant (foolish) " 7:199
Kuna wakati una akili sana🤣🤣🤣🤣
Msaidieni na bibi yenu FF aliyesomea ujinga
 
Tatizo hilo lipo kila upande, ila sababu wewe ni mkristo, huwezi kuona ubaya wa mkristo anaendika vibaya Uislamu.
Alafu nikuambie tu, Uislamu hata ukiusoma hutaujua, Ukishajiandaa kupinga hutokubaliana.

Mimi nilikua na bibilia nilinunua pale standy ya zamani ya mkoa Ubongo, kwa ajili tu ya kubishania na akina mgeni, na wagalatia wengine, enzi hizo wewe hujaijua Jamiiforums.

Baadae nilimtamfuta mkristo nikampa, kila mtu abaki na imani yake, ila kwa hiki kinachoendelea ngoja nikatafute nyingine, ingawa ipo play store, nataka kitabu ambacho unapoishia ni rahisi kuweka kumbukumbu kwa kukumja ukurasa au kuweka kitu.
Kitu usichokielewa kwenye ile reply ni kuhisi labda nimemnanga mleta uzi!!

Nimeshakwambia kua uzi unahusu uislam, ukristo unatoka wapi hapo??

Ona jinsi unavotengeneza majibu yako, ni kama vile nilivosema awali kwenye comment yangu ya mwanzo kabisa.

Sibishani kuhusu nani yuko sahihi na nani hayuko sahihi, au nani kamzidi nani kama wewe unavotaka kunipeleka huko kuanza kuunanga uislam wakati mimi sina hizo mambo kabisa.

Ule ulikua ni ushauri kwa waislam na pale mwisho nikasema hivi. "Ila hii kitu ni nzuri hasa kwa sisi tunaopenda kujifunza uislam."

Halafu unasema eti hata nikiamua kuusoma uislamu sitaujua( wewe umeujuaje).
Hiki ndicho nilichokisema pale kua kujiona una ujuzi wa juu, uko sahihi sana, hukosei nk.
 
wanaoanza kuja na lugha chafu za kukashifu dini za wenzao na kuona yao ndio bora ni waislamu wenyewe sasa wakijibiwa ndio wanalalama hapa wanapenda wakaliwe kimya waongee wao tu wakati wana mapungufu kwenye dini yao kama yote na hawataki kupewa ukweli ila kudhihaki za wenzao namba moja,tulieni sindao ziwaingie.
 
wanaoanza kuja na lugha chafu za kukashifu dini za wenzao na kuona yao ndio bora ni waislamu wenyewe sasa wakijibiwa ndio wanalalama hapa wanapenda wakaliwe kimya waongee wao tu wakati wana mapungufu kwenye dini yao kama yote na hawataki kupewa ukweli ila kudhihaki za wenzao namba moja,tulieni sindao ziwaingie.
No ligi hpa
 
We sufi tulia ww mlitaka muachiwe tu muendelee kuharibu dini
Leo hii hata wasio waislamu wanashangaa ivi huu Uislamu wa kucheza kucheza na kukata viuno umetoka wapi? Kumbe nyinyi watu bid'aa ndo mnataka kutuharibia dini yetu

Namkubali sana Abdallah humeid mna hapindishi maneno yy ni straight forward
Penye haki izungumzwe na kwenye batwili pia izungumzwe tena kwa kukemea vikali sanaaa
Sawa ndugu yangu huu ni mfano wa vijana wanaozalisha akina abdallah humeyd na abul fadhwli.

Hii manhaj mimi naifahamu hivyo nakupa udhuru kwa sababu najua unapitia hali gani kwa sasa ndio maana unayasema maneno haya.

Neno langu ni kukuombea kwa Allah akupe salama na akuzidishie uomgofu wewe na mimi.
 
Sawa ndugu yangu huu ni mfano wa vijana wanaozalisha akina abdallah humeyd na abul fadhwli.

Hii manhaj mimi naifahamu hivyo nakupa udhuru kwa sababu najua unapitia hali gani kwa sasa ndio maana unayasema maneno haya.

Neno langu ni kukuombea kwa Allah akupe salama na akuzidishie uomgofu wewe na mimi.
Kwaio ww untaka kusema kwamba mnoyafanya nyie masufi ndo mko sahihi?
Waabudu makaburi
Wanawapenda masheikh wao kuliko mtume
Washirikina
Watu wa kuzusha mambo

Hlf pitia hadithi hii unaweza kupata chochote ndugu yangu
- . . . . فإنَّه من يعِشْ منكم من بعدي فسيرَى اختلافًا كثيرًا, فعليكم بسنَّتي وسنَّةِ الخلفاءِ المهديِّينَ الرَّاشدينَ, تمسَّكوا بها, وعضُّوا عليها بالنَّواجذِ, وإيَّاكم ومحدَثاتِ الأمورِ فإنَّ كلَّ مُحدثَةٍ بدعةٌ, وكلَّ بدعةٍ ضلالةٌ, زاد في حديثٍ آخرَ : وكلَّ ضلالةٍ في النَّارِ


Kwani atakayeishi miongoni mwenu baada yangu ataona tofauti nyingi, basi shikamaneni na Sunnah zangu na Sunnah za Makhalifa Waongofu, mshikilie, na mung'atae kwa magego, na jihadharini na mambo mapya. kila jambo lililozuliwa ni uzushi, na kila uzushi ni upotofu, aliongeza katika Hadithi nyingine: Na kila upotofu uko Motoni

Sasa ndugu yangu unataka kuingia motoni kwa kufuata hawa masheikh wapotofu?
 
Kwaio ww untaka kusema kwamba mnoyafanya nyie masufi ndo mko sahihi?
Wewe kama muislamu hautakiwi kuzungumza jambo ambalo huna elimu nalo.

Asema Allah

ولا تقف ما ليس لك به علم إن السمع والبصر والفؤاد كل أولئك كان عنه مسئولا

[ AN NAH'L - 36 ]
Wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo. Hakika masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote vitasailiwa.

Aliwahi kuuliza sheikh ibnu baz Allah amrehemu kuhusu tafsiri ya hii aya sheikh akasema

"
أن الله ينهى عن كون الإنسان يتكلم فيما لا يعلم يعني: لا تقل في شيء ليس لك به علم، بل تثبت "

kkamba " Allah amekataza mtu kusema mambo ambayo hayajui bbai anatakiwa awe na uthibitisho.

wwwe ndugu yangu huna uthibitisho wowote kwamba mimi ni sufi bali kwa kuwa nnimeaua kwenda kinyume na shekhe wako ukaona unizushie huu zushi ambao bila shaka Uhibitisho hauko.je

sio kwamba naogopa kuwa sufi hapana,ningelikuwa sufi ningesema hapa kkwambamimi ni sufi lakini mimi sio sufi.​
Kwani atakayeishi miongoni mwenu baada yangu ataona tofauti nyingi, basi shikamaneni na Sunnah zangu na Sunnah za Makhalifa Waongofu, mshikilie, na mung'atae kwa magego, na jihadharini na mambo mapya. kila jambo lililozuliwa ni uzushi, na kila uzushi ni upotofu, aliongeza katika Hadithi nyingine: Na kila upotofu uko Motoni
Hakuna anayepinga hizi hadithi,watu wanachopinga ni usulbu wanaotumia baadhi ya ndugu zetu masalafy kulingania ni usulbu mgumu ambao uko kinyume na uislamu.

Watu kuwa wapotovu haina maana uwakosee adabu katika kuwafikishia ujumbe,uislamu haujaishia kwenye kubainisha haki tu bali uislamu umefikia mpaka kutumia ustaarabu kwenye kufikisha hiyo haki.

Na salafi wengi usulbu wao ni wa ususuwavu mno,usulbu wa hovyo ambao hauendani kabisa na tabia njema za uislamu ndio kama hapa kauli unazotoa wewe zinaonesha salafi wengi mko hivyo.
 
Kwaio ww untaka kusema kwamba mnoyafanya nyie masufi ndo mko sahihi?
Waabudu makaburi
Wanawapenda masheikh wao kuliko mtume
Washirikina
Watu wa kuzusha mambo

Hlf pitia hadithi hii unaweza kupata chochote ndugu yangu
- . . . . فإنَّه من يعِشْ منكم من بعدي فسيرَى اختلافًا كثيرًا, فعليكم بسنَّتي وسنَّةِ الخلفاءِ المهديِّينَ الرَّاشدينَ, تمسَّكوا بها, وعضُّوا عليها بالنَّواجذِ, وإيَّاكم ومحدَثاتِ الأمورِ فإنَّ كلَّ مُحدثَةٍ بدعةٌ, وكلَّ بدعةٍ ضلالةٌ, زاد في حديثٍ آخرَ : وكلَّ ضلالةٍ في النَّارِ


Kwani atakayeishi miongoni mwenu baada yangu ataona tofauti nyingi, basi shikamaneni na Sunnah zangu na Sunnah za Makhalifa Waongofu, mshikilie, na mung'atae kwa magego, na jihadharini na mambo mapya. kila jambo lililozuliwa ni uzushi, na kila uzushi ni upotofu, aliongeza katika Hadithi nyingine: Na kila upotofu uko Motoni

Sasa ndugu yangu unataka kuingia motoni kwa kufuata hawa masheikh wapotofu?
ولا تقف ما ليس لك به علم إن السمع والبصر والفؤاد كل أولئك كان عنه مسئولا

[ AN NAH'L - 36 ]
Wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo. Hakika masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote vitasailiwa.

Kunitia kwako kwenye usufi kama mimi sio sufi wala haidhuru kitu mdogo wangu.

Na wewe kutetea kwako unaodhani ndio usalafi wala hakukufanyi kuwa salafi mdogo wngu.

Unaweza ukawa uko mbali na usalafia wa kweli lakini mwenyewe ukadhani unatetea,ninachokushauri kuwa mvumilivu,kuw mstaarabu na muungwana kujadili mambo bila kumuattack mtu japokuwa hiyo ndio njia wanayopita baadhi ya masalafi ila napendelea wewe uwe muungwana zaidi.


Kwani atakayeishi miongoni mwenu baada yangu ataona tofauti nyingi, basi shikamaneni na Sunnah zangu na Sunnah za Makhalifa Waongofu, mshikilie, na mung'atae kwa magego, na jihadharini na mambo mapya. kila jambo lililozuliwa ni uzushi, na kila uzushi ni upotofu, aliongeza katika Hadithi nyingine: Na kila upotofu uko Motoni
Dini yetu ya uislamu haifundishi kufikisha haki tu,bali inatufundisha mpaka namna ya kufikisha haki hiyo uifikishe kwa njia gani
Unachokifanya wewe ni kudhani ukishajua hadithi tu bali ushamaliza,laa unatakiwa ujue vipi utafikisha hadithi hizo,na hiyo ndio manhaj kamili ya mtume wetu.
 
Kuna mjamaa humu anatuma jina la@Macro Polo na yeye aliwahi kusema Ktk uzi mmoja kuwa mwanzo alikuwa akichukia jina la kafiri na kuitwa hivyo lakini alivyo gugo na kujua maana yake hachukii tena na anaona kawaida mtu akimuita kafiri.

Sawasawa zama za ubaguzi wa rangi Marekani ilikuwa mtu mweusi ukimuita" black " anachukia animal kosa na umemuita jina baya wkt huo huo alikuwa akikubali jina la "negro" akiitwa na Mzungu kumbe yote maana ni Moja hapo ni lugha tu ndiyo imebadilika na yeye ni kweli ni black
Neno black lilitumika km kashifa,Hasa miaka ile,By the way hakuna mtu mwenye rangi ya black,Isipo kua tuna rangi ya kahawia,Kaangalie Rangi nyeus uone km wewe una rangi Hiyo
 
Wewe kama muislamu hautakiwi kuzungumza jambo ambalo huna elimu nalo.

Asema Allah

ولا تقف ما ليس لك به علم إن السمع والبصر والفؤاد كل أولئك كان عنه مسئولا

[ AN NAH'L - 36 ]
Wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo. Hakika masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote vitasailiwa.

Aliwahi kuuliza sheikh ibnu baz Allah amrehemu kuhusu tafsiri ya hii aya sheikh akasema

"
أن الله ينهى عن كون الإنسان يتكلم فيما لا يعلم يعني: لا تقل في شيء ليس لك به علم، بل تثبت "

kkamba " Allah amekataza mtu kusema mambo ambayo hayajui bbai anatakiwa awe na uthibitisho.

wwwe ndugu yangu huna uthibitisho wowote kwamba mimi ni sufi bali kwa kuwa nnimeaua kwenda kinyume na shekhe wako ukaona unizushie huu zushi ambao bila shaka Uhibitisho hauko.je

sio kwamba naogopa kuwa sufi hapana,ningelikuwa sufi ningesema hapa kkwambamimi ni sufi lakini mimi sio sufi.​

Hakuna anayepinga hizi hadithi,watu wanachopinga ni usulbu wanaotumia baadhi ya ndugu zetu masalafy kulingania ni usulbu mgumu ambao uko kinyume na uislamu.

Watu kuwa wapotovu haina maana uwakosee adabu katika kuwafikishia ujumbe,uislamu haujaishia kwenye kubainisha haki tu bali uislamu umefikia mpaka kutumia ustaarabu kwenye kufikisha hiyo haki.

Na salafi wengi usulbu wao ni wa ususuwavu mno,usulbu wa hovyo ambao hauendani kabisa na tabia njema za uislamu ndio kama hapa kauli unazotoa wewe zinaonesha salafi wengi mko hivyo.
Hoja zako tu zinathibitisha jua ww ni Sufi kwa kuwapinga walimu wa Sunna
 
Hoja zako tu zinathibitisha jua ww ni Sufi kwa kuwapinga walimu wa Sunna
Unatumia emotions zaidi katika mambo yanayohitaji hoja za wazi kama haya.

Waalimu wa sunna hawapingwi kwa sababu ya sunna zao,bi wanapingwa kwa sababu ya yale wanayokiuka katika sunna za uislamu.

Kuwapinga waalimu wa sunna sio tatizo maadamu unawapinga kwenye jambo sahihi,ila kwa kuwa mnaamini waalimu wenu hawakosei ndio mnaona kila anaewapinga msufi,mkhurafi.

Sheikh ibnu baaz alimpinga sheikh albaniy pale albani aliposema kwamba kurudisha mikono baada rukuu ni bidaa,sheikh ibn baaz akapinga kwamba imam albani amekosea japokuwa ni aalim wa kisunna.

Hivyo itikadi yako ya kwamba kuwalinga waalimu wa sunna ni usufi ni itikadi ambayo ndugu yangu uifikirie mara mbili.

Kama wanapingwa juu ya jambo la usawa basi naam kupingwa huko ni sawa kama alivyompinga sheikh ibn baaz albani.

Ila wewe unaweza kuendelea na hiyo misimamo yako kama unaona ina tija mimi lengo langu ni kuelimisha vijana tu wasiingie katika hizi firqa za jazba na fitna baina ya waislamu.
 
Anzeni na yule shehe ubwabwa aliye mdhalilisha mtume kwa kusema MTU Fulani Ni zaidi ya mtume.
 
Unatumia emotions zaidi katika mambo yanayohitaji hoja za wazi kama haya.

Waalimu wa sunna hawapingwi kwa sababu ya sunna zao,bi wanapingwa kwa sababu ya yale wanayokiuka katika sunna za uislamu.

Kuwapinga waalimu wa sunna sio tatizo maadamu unawapinga kwenye jambo sahihi,ila kwa kuwa mnaamini waalimu wenu hawakosei ndio mnaona kila anaewapinga msufi,mkhurafi.

Sheikh ibnu baaz alimpinga sheikh albaniy pale albani aliposema kwamba kurudisha mikono baada rukuu ni bidaa,sheikh ibn baaz akapinga kwamba imam albani amekosea japokuwa ni aalim wa kisunna.

Hivyo itikadi yako ya kwamba kuwalinga waalimu wa sunna ni usufi ni itikadi ambayo ndugu yangu uifikirie mara mbili.

Kama wanapingwa juu ya jambo la usawa basi naam kupingwa huko ni sawa kama alivyompinga sheikh ibn baaz albani.

Ila wewe unaweza kuendelea na hiyo misimamo yako kama unaona ina tija mimi lengo langu ni kuelimisha vijana tu wasiingie katika hizi firqa za jazba na fitna baina ya waislamu.
Ingependeza ungejifichua kwenye kichaka ulichojificha kwacho kubainisha manhaj yako ila kona kona hizo utapelekwa hata kwenye UIBADHI
 
Ingependeza ungejifichua kwenye kichaka ulichojificha kwacho kubainisha manhaj yako ila kona kona hizo utapelekwa hata kwenye UIBADHI
Mimi sina tatizo,niite shia,niite qadiyani,niite sufi,niite salafy,niite kafiri,niite vyovyote wala sina tatizo.

Kwa sababu allah ndio anajua mimi ni nani na wala Allah hanihukumu kwa mujibu wa vile wanavyoniita watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom