Ujumbe kwa Waislamu wenzangu

Ujumbe kwa Waislamu wenzangu

Nimekuuliza maswali apo juu naona hujayajibu mpk saivi hlf unasema ety mm nakimbia maswali
jibu maswali yangu kuhusu khitma,Arobaini na Maulidi kma ww kweli ni mkweli
Majibu yangu yapo kwenye maswali niliyokuuliza ndiyo maana unayakwepa.

Nimeshakuonesha kwamba ni sahihi kujibu swali kwa swali kama alivyofanya mtume.

.mwanzo Ulipinga hilo,nimekupa hoja za wazi kabisa unakataa kukubali kwwmba swali inaweza kujibiwa kwa swali.

Acha ususuwavu ndugu yangu.
 
Umetoka kushabikia mauji wa Ukraine, ukifika humu unakifanya sijui show forgiveness !
Ni unafiki tu,ni unafiki unafiki unafiki!

Main article inazungumzia kukaa kimya inapotokea hoja pinzani kutoeleweka but wao hao hao ndo wanaofanya mada zisijadilike mijadala ihamie kwenye kukashifiana,kuita wenzao majina ya ajabu ajabu kafir etc tena kama mimi mtu aniite KAFIR aloo hiyo mada haitajadilika tena hakuna kitu sipendi kama hiko.
 
Ni unafiki tu,ni unafiki unafiki unafiki!

Main article inazungumzia kukaa kimya inapotokea hoja pinzani kutoeleweka but wao hao hao ndo wanaofanya mada zisijadilike mijadala ihamie kwenye kukashifiana,kuita wenzao majina ya ajabu ajabu kafir etc tena kama mimi mtu aniite KAFIR aloo hiyo mada haitajadilika tena hakuna kitu sipendi kama hiko.
Hivi neno ,,kafir' ni la kiswahili???

au??
 
Majibu yangu yapo kwenye maswali niliyokuuliza ndiyo maana unayakwepa.

Nimeshakuonesha kwamba ni sahihi kujibu swali kwa swali kama alivyofanya mtume.

.mwanzo Ulipinga hilo,nimekupa hoja za wazi kabisa unakataa kukubali kwwmba swali inaweza kujibiwa kwa swali.

Acha ususuwavu ndugu yangu.
Watu wa bid'aa mna tabu sana nyinyi
Nadhani sasa anajulikana ambae anakimbia maswali
 
Ni unafiki tu,ni unafiki unafiki unafiki!

Main article inazungumzia kukaa kimya inapotokea hoja pinzani kutoeleweka but wao hao hao ndo wanaofanya mada zisijadilike mijadala ihamie kwenye kukashifiana,kuita wenzao majina ya ajabu ajabu kafir etc tena kama mimi mtu aniite KAFIR aloo hiyo mada haitajadilika tena hakuna kitu sipendi kama hiko.
Kagoogle maana ya Kafiri usipate tabu mkuu
 
Watu wa bid'aa mna tabu sana nyinyi
Nadhani sasa anajulikana ambae anakimbia maswali
ليس هكذا يا سعد تورد الإبل.

Na huu ndio mwisho wa ndugu zetu wengi wa kisalafy pale wanapokuwa Allah hajawajaalia majibu yenye maana.
 
Kujadili dini nayo pia ni KADI YA MWALIKO wa umasikini....

Kijana tafuta Maisha achana na hekaya,,,Okoa muda...

Amini unacho amini then Songa mbele,, Mungu unayemuamini atakusaidia hakuna haja ya kulazimisha wengine..

Allah akitukanwa wewe unadhurika na kitu gani.??? au ndio Excuse ya kupoteza muda ubakie Masikini ili baadae uanze kumlalamikia Samia...

Tunzeni Muda
 
Vaa bomu aubtwmbeza tindikali shekh umpiganie Allah, vinginevyo bikira za wanawake 72 utazisikia tu.
 
Hata mimi nawapenda kwa ajili ya Allah na nawachukia kwa ajili ya Allah.

Kama ambavyo wao wanawachukia waislamu wenzao (wanaowaita watu wa bidaa kwa)kwa ajili ya Allah
Allah awahifadhi na kuwapa nguvu waendelee kuuporomosha na kuusambaratisha uzushi na wazushi, bila ya kujali lawama za wenye kulaumu.
 
Kujadili dini nayo pia ni KADI YA MWALIKO wa umasikini....

Kijana tafuta Maisha achana na hekaya,,,Okoa muda...

Amini unacho amini then Songa mbele,, Mungu unayemuamini atakusaidia hakuna haja ya kulazimisha wengine..

Allah akitukanwa wewe unadhurika na kitu gani.??? au ndio Excuse ya kupoteza muda ubakie Masikini ili baadae uanze kumlalamikia Samia...

Tunzeni Muda
Kma kitu hakikuhusu ni bora tu ukakaa kimya
sio kila jambo unaliongelea
 
Kwenye dini ya Uislamu kuna elimu ya malezi au tabia na kwa bahati mbaya hili somo siku hizi halitiliwi mkazo.

Unaweza ukawa na elimu lakini ukakosa malezi hivyo ukakosa ustaha wa kuamiliana na watu. Elimu ya dini na elimu ya malezi vinakwenda pamoja. Kimojawapo kikikosekana baina ya hivyo huyo mtu atakuwa ni fasiq au mzandiki.

Na ukiutizama Uislamu, haukusema umchukie kaafir! Bali umesema uuchukie Ukafir. Ndiyo maana kwenye somo la malezi kipimo cha mwenye elimu kwa kadri inavyoongezeka ndivyo kadri anavyotakiwa awe mnyenyekevu.

Kwenye elimu ya malezi hautakiwi kudharau mtu, kuwa na kiburi, kujiona: Kijana mmoja kipindi cha Mtume swallallahu alayhi wasallam aliingia msikitini lakini moyo wake akawa umejawa na yeye ni bora kuliko wengine. Mtume akamwambia hii dini ni ya Mungu kuwa na heshima na viumbe wake.

Ndiyo maana kwenye malezi unafundishwa uwe ahlul mahaba (mtu wa upendo). Uwapende mpaka wale wanaofanya maovu kwa maana Upendo una nguvu! Pengine wanaweza kubadilika kwa kupitia upendo.

Sheikh Muhammad Al Hudaa Al Yaaqoubi anasema the shortest way ya kufika kwa Mungu ni love! Ila haina maana uache ibada nyenginezo zinazokuwajibikia.
Nimekuelewa mno mno mkuu, binafsi mabishano ya humu nayachukia sana.
Mpaka kuna muda unajikuta na wewe umechangia in -ve ways just coz inaboa sana mtu kujiona bora.

Na bahati mbaya/nzuri huyo mtu anajua mambo kadhaa kuhusu dini husika badala awasaidie wengine yeye anakua na ego.
 
Ni kweli hiyo ndo njia pekee, huwezi bishana na mtu anayebisha bila kuwa na uelewa. Utaumiza na kuichosha akili yako bure, huku ukiumiza njaa
 
Sheikh albarahian wa mombasa simjui.

Ila ninayemjua ni sheikh salim barahiyani wa tanga ambaye huyu barahiyani na mafuta haziivi kama paka na panya na wote hawa ni waislamu na wote wanajidai ni masalafy.

Ndio huyo huyo wa tanga nimekumbuka.

Sitaki kuzungumzia zaidi kuhusu huyu sheikh, jinsi anavyokufurisha waislamu wenzie na kujiona yeye na dhehebu lake wapo sahihi,Allah amuongoze. Nampenda na nakupendeni kwa ajili ya Allah ndugu zangu waislamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom