Members hili limenisikitisha sana na sina pa kulisemea zaidi ya hapa. nilipoteza wallet yangu8 tarehe 21 ikiwa na id's zangu pamoja na ATM card yangu, sasa nikaenda bank niblock account yangu. Nikaambiwa haiwezekani hadi niende polisi nipewe lost report. Hapo bank wakanipa form ya kunitambulisha huko polisi kama mteja wao. Nikaenda police pale Udsm mlimani , wakaandika maelezo yangu then nikaambiwa inabidi niende kituo cha magomeni au oysterbay nikalipie shilingi mia tano (500) kwa sababu wao hawana mhasibu pale, nipewe risiti niirudishe pale polisi ndio wanipe hiyo lost report ili nende bank kublock account yangu na kuanza process ya kupewa ATM mpya. Kwa kuwa ilikuwa jioni definately nisingemkuta huyo mhasibu, nilivyoenda oysterbay nikaambiwa hawana risiti zimeisha niende magomeni, nikaenda magomeni nikaambiwa risiti zimeisha niende baada ya siku tatu au niende msimbazi, kumbuka siku zinapita sijablock account yangu, mchana huu nimeenda msimbazi, nimeambiwa risiti hakuna. Sasa nikauliza inakuwaje kwenye ishu kama hii wananizungusha hivi na accaunt yangu inaweza kuibiwa wanasema there is nothing they can do. I am so mad hata sijui nfanyeje, tena bila aibu polisi huyo ananiambia rudi kule mlimani wabembeleze wape chochote wakuandikie lost report ndo hali ilivyo" can you imagine? Yani nimesumbuliwa wiki mbili ili nilipie tu sh 500 nimetembea vituo vyote hivyo vya polisi na hakuna nilichokipata, sasa jamani kwa hali hii mtu anafanyaje? Je hii nchi haina kabisa utaratibu wa maana zaidi ya mlolongo mrefu usiokuwa na kichwa wala miguu ukitoa mianya ya rushwa? Na sasa ni lazima kuwe na process ndefu namna hii kwenye huduma ambayo ni haki yangu?
Members hili limenisikitisha sana na sina pa kulisemea zaidi ya hapa. nilipoteza wallet yangu8 tarehe 21 ikiwa na id's zangu pamoja na ATM card yangu, sasa nikaenda bank niblock account yangu. Nikaambiwa haiwezekani hadi niende polisi nipewe lost report. Hapo bank wakanipa form ya kunitambulisha huko polisi kama mteja wao. Nikaenda police pale Udsm mlimani , wakaandika maelezo yangu then nikaambiwa inabidi niende kituo cha magomeni au oysterbay nikalipie shilingi mia tano (500) kwa sababu wao hawana mhasibu pale, nipewe risiti niirudishe pale polisi ndio wanipe hiyo lost report ili nende bank kublock account yangu na kuanza process ya kupewa ATM mpya. Kwa kuwa ilikuwa jioni definately nisingemkuta huyo mhasibu, nilivyoenda oysterbay nikaambiwa hawana risiti zimeisha niende magomeni, nikaenda magomeni nikaambiwa risiti zimeisha niende baada ya siku tatu au niende msimbazi, kumbuka siku zinapita sijablock account yangu, mchana huu nimeenda msimbazi, nimeambiwa risiti hakuna. Sasa nikauliza inakuwaje kwenye ishu kama hii wananizungusha hivi na accaunt yangu inaweza kuibiwa wanasema there is nothing they can do. I am so mad hata sijui nfanyeje, tena bila aibu polisi huyo ananiambia rudi kule mlimani wabembeleze wape chochote wakuandikie lost report ndo hali ilivyo" can you imagine? Yani nimesumbuliwa wiki mbili ili nilipie tu sh 500 nimetembea vituo vyote hivyo vya polisi na hakuna nilichokipata, sasa jamani kwa hali hii mtu anafanyaje? Je hii nchi haina kabisa utaratibu wa maana zaidi ya mlolongo mrefu usiokuwa na kichwa wala miguu ukitoa mianya ya rushwa? Na sasa ni lazima kuwe na process ndefu namna hii kwenye huduma ambayo ni haki yangu?
Kwanza karibu sana JF. Jibu la swali lako ni kwamba ndiyo maana wengi wanaleta mapendekezo yao hapa JF, lakini je hali hiyo ndiyo unaijua leo, mbona mambo hayo ni ya siku nyingi? Pole sana.
...Kweli kabisa hawa polisi wa ngazi za chini wameshalemaa na rushwa bora uanzie kwa mabosi wao tu....angalia mazee hako karisiti kasije kusababisha upoteze mihela yako kama wanaweka usiku funga akaunti tafuta benki nyingine...Mi nakwambia Tz imeoza[/QUOTE
Naenda tena bank asubuhi hii na polisi huko chuo niplead nao, nikishindwa ntakomba kila kilicho changu hapo bank na kuondoka nacho na kufunga hiyo account. Ni NBC kWA FAIDA YA WALE WANAOTAKA KUJUA.
...Kweli kabisa hawa polisi wa ngazi za chini wameshalemaa na rushwa bora uanzie kwa mabosi wao tu....angalia mazee hako karisiti kasije kusababisha upoteze mihela yako kama wanaweka usiku funga akaunti tafuta benki nyingine...Mi nakwambia Tz imeoza[/QUOTE
Naenda tena bank asubuhi hii na polisi huko chuo niplead nao, nikishindwa ntakomba kila kilicho changu hapo bank na kuondoka nacho na kufunga hiyo account. Ni NBC kWA FAIDA YA WALE WANAOTAKA KUJUA.
Mkuu pole sana ndugu yangu, ngoja tuzidi kupambana hapa kwenye Keyboard...atleast for now...ipo siku kitaeleweka. But to me my worst BANK IS CRDB. Yaana wanaukiritimba sijawahi kuona hapa duniani!
Pole sana mkuu.
Lakini hapo hukujua tu yalikuwa mazingira ya rushwa kwa vile wewe ulikuwa umekomaa ndo maana wakaamua kukuzungusha lakini hapo ungenunua HAKI yako kwa 5000/= mbona ungeshughulikuwa faster tatizo mkono wako ulikuwa mfupi.
Hii ndo BONGO bwana wanadai kila mtu anakula kutokana na ulefu wa kamba.Mshahara wenyewe wanao lipwa ni kima cha mbuzi wataacha kukuzungusha ili usitoe rushwa hii thubutu.Lazima upigwa danadana mpaka unazama mfukoni unanunua HAKI tatizo mishahara midogo sana serikalini.
Halafu Hapo Sioni Suala Lolote La Ufisadi Unalidhalilisha Jeshi Letu La Polisi Unavyojaribu Kuliweka Katika Mazingira Haya Bwana
Shauri yenu, nyi endeleeni kusema uozo wa nchi yetu, mnazidi kuwaogopesha wabeba maboksi kurudi home.
Mwanakijiji aliyekuwa ana mpango wa kurudi mnazidi kumuogopesha..hivyo inabidi mseme taratibu...maana kwa mwendo huu vijana wetu makini akina YourNaME, Mwafrika wa Kike, Nyani Ngabu, Joka Kuu, Fundi Mchundo, StevD et al...hawatataka kurudi kwa kuogopa kadhia kama hizi!