jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Wakuu pia tusisahau kuwa LAST HOPE hakuitaji kwenda polisi.
Muelewe kuwa sheria za benki ni kama zinaiongoza nchi..Ama ukipenda..Zina act kama PROXIMATION ya kukuamulia maamuzi muhimu ambayo ni binafsi na yenye kuhitaji kutokuingiliwa.
Haimake sense kabisa kwenda polisi kuomba akaunti yako ifungwe!
Kwamba ni kweli ATM card yako imepotea ama la...Then ndio unahitaji kwenda polisi kuripoti ili na wao watoe tangazo.
Lakini benki ilitakiwa ifunge akaunti hiyo MARA MOJA!
Na mambo ya polisi ni baadaye.
NCHI IMEOZA HIYO INAHITAJI MABADILIKO MAKUBWA SANA.
Mambadilko hayo hatutaweza kuyapata kama hatutadai UHURU WETU SASA!
Muelewe kuwa sheria za benki ni kama zinaiongoza nchi..Ama ukipenda..Zina act kama PROXIMATION ya kukuamulia maamuzi muhimu ambayo ni binafsi na yenye kuhitaji kutokuingiliwa.
Haimake sense kabisa kwenda polisi kuomba akaunti yako ifungwe!
Kwamba ni kweli ATM card yako imepotea ama la...Then ndio unahitaji kwenda polisi kuripoti ili na wao watoe tangazo.
Lakini benki ilitakiwa ifunge akaunti hiyo MARA MOJA!
Na mambo ya polisi ni baadaye.
NCHI IMEOZA HIYO INAHITAJI MABADILIKO MAKUBWA SANA.
Mambadilko hayo hatutaweza kuyapata kama hatutadai UHURU WETU SASA!