Lasthope
Senior Member
- Jun 5, 2008
- 149
- 6
- Thread starter
- #41
Halafu Hapo Sioni Suala Lolote La Ufisadi Unalidhalilisha Jeshi Letu La Polisi Unavyojaribu Kuliweka Katika Mazingira Haya Bwana
Wee shy wewe, wanasema hivi ukiwa muongo ni vizuri uwe na kumbukumbu. Usinone ni junior member, nimeanza kusoma JF Kama guest zaidi ya mwaka. N akumbuka sana story zako za kukamatwa na laptop na polisi ukalazwa ndani na uongo mwingine mwingi, kumbe pale ulikuwa unalisifu jeshi la polisi au ulikuwa unalidhalilisha au ulikuwa unatuletea story zako ili tukuhurumie au ni uongo tu. Sijui nikuewke group gani ila kwa mwanaume kubehave the way you do ni aibu. we ni mnafiki sana shy, either uanafanya makusudi kuwaudhi watu au uko kwenye payroll ya watu. I should know better tangu scandal ya JF hadi watu fulani wakashikwa. Behave like a man atleast for once. Siyo muhimu kuchangia kama huna ch kusema, no wonder your status says you are alone in the dark! From what i see thats very true.