Ujue Mti chonganishi

Ujue Mti chonganishi

Kumbeeee umenifumbua macho Leo,kila siku matatiz hayaishi kwetu kumbe ni huu,umepandwa mita chache toka dirisha l chumba cha wazazi wangu kilipo,dunia inamengi tusiyo yafaham,umenifumbua macho n akili mkuu,duh
 
mshana jr inawezekana kuna ukweli kwenye hili, kuna taasisi fulani iliokua inamilikiwa na mzungu mmoja hivi ikihusika na utoaji wa huduma kwa watoto wenye mahitaji maalumu, ikijikita kutoa elimu ya ufundi. tunaweza kusema ni chuo cha ufundi.
kwa jinsi kilivyokua kimejizatiti wahisani, wafadhili, miradi nk huwezi amini kilifikia hatua ya kufungwa na mwenyewe kuuza baadhi ya miradi iliokua chini yake. Lakini alikuja kukutoa hiko kituo kwa taasisi ya kidini ili wakisimamie.
kina majengo zaidi ya 13 na kila jengo wamepanda hio miti na kweli imepasua kuta na sakafu za kila nyumba na hata nyumba za wafanyakazi zilipasuka na bahati mbaya hadi familia za hao wafanyakazi haziko sawa.
huenda kuna ukweli lakini siamini saaaana.
 
Watuambie inaongeza nguvu za kiume tuishambulie mpaka iishe nchi nzima.
`
Mimi nadhani isemwe inapunguza nguvu za kiume kwa kila anayepita karibu nayo, ili ing'olewe yote!. Na mshana jr ndiye awe mtu pekee anayejua namna ya kuiong'oa yote na madhara yake kwa watu ili atembee Africa nzima akikusanay fedha.

Kwa mantiki hiyo, hakuna mtu atapita njia kuna huo mti achilia mbali walioipanda majumbani!.
 
mshana naomba ushauri miti gani nipande nyumbani kukaribisha utulivu na mafanikio?
 
Back
Top Bottom