Unaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija
Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"
Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.
#halisimediatzView attachment 3295432
Mudi boy againUnaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija
Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"
Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.
#halisimediatzView attachment 3295432
Duh! Kumbe Ukata upo kote kote; Ujinini na Ubinadamuni. Hakuna aliye salama.Mengi yalikufa na machache yaliyobaki yalitapeliwa na binadamu na mengine yalifilisika😂
Na kwa uduwanzi alishindwa walau hata kuchukua picha mnato ya huyo jini kwa kutumia ile simu yake.Shekhe kipoozeo naye alikuwa na clip yake ya msikiti wa majini
Ukimsikiliza lazima ucheke eti yeye alisalimiana kabisa na jini
![]()
175K views · 6.1K reactions | MAAJABU YA MSIKITI WA MAJINI MAKKA, SHEIKH KIPOZEO ASIMULIA ALIVOSALIMIANA NA JINI | Riyadh Tv Online Znz
MAAJABU YA MSIKITI WA MAJINI MAKKA, SHEIKH KIPOZEO ASIMULIA ALIVOSALIMIANA NA JINIwww.facebook.com
Mbona wamejenga huo ili uwe wa mfano kuipinga hoja yako. Unachakusema tena mkuu?Majini hayana uwezo wa.kujenga bila kuwatumia binadamu
Uso unaashiria ana vinasaba vya hasira za kiKobaaz. Usimsogelee na wala usimwulize maswali - Kaa mbali naye.View attachment 3296227
Jini fundibomba akiwa na wrench spanner tayari kufix mabomba msikitini
Du kwahiyo kila aingiaye anapata kituUnaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija
Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"
Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.
#halisimediatzView attachment 3295432
Brother acha hadithi za kusadikika.Unaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija
Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"
Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.
#halisimediatzView attachment 3295432
😀😀😀 maana nimekuwa nikitamani nikutane nao lakini waapi🙆♀️Mengi yalikufa na machache yaliyobaki yalitapeliwa na binadamu na mengine yalifilisika😂