Ujue msikiti uliojengwa na majini

Ujue msikiti uliojengwa na majini

Hivi wale majini handsome man na wale wadada uzuri wake mfano hakuna alafu wanakuhonga hela unaamka tu unazikuta chini ya mto, wana mapenzi ya kweli hadi unachanganyikiwa waliisha? Maana huyo hapo pichani kama ni jini sa ndio jini gani huyo Mshana Jr
Baada ya tech kukua majini yanazidi kupotea, majini yale ya Z Anto siku hizi hayapo kabisa
 
Sio huo peke yake, ipo na mingine kwenye nchi nyingine, nje ya Africa
Dah! Nilijuaga kwamba majini ni maarufu kwa utajiri, ubabe n.k. kumbe wamepinda hivyo?
Yan majini kwa akili zao na uwezo wao wote wamejenga kamsikiti kama banda la kuku wa kisasa tena msikiti mmoja tu eneo lote la Ufukweni kana kwamba walikuwa wanauziwa kiwanja. Majini hayapo, na kama yapo basi Tupa kule hawafai.
 
Kumbe na wenyewe wana kwa Mtogole, Fundi Maiko, yaani ni masikini kiasi hicho?

Wangeachana na kujenga majengo yanayoonekana, waendelee tu kuishi kusikojulikana.
 
Sio huo peke yake, ipo na mingine kwenye nchi nyingine, nje ya Africa
Dah! Nilijuaga kwamba majini ni maarufu kwa utajiri, ubabe n.k. kumbe wamepinda hivyo?
Yan majini kwa akili zao na uwezo wao wote wamejenga kamsikiti kama banda la kuku wa kisasa tena msikiti mmoja tu eneo lote la Ufukweni kana kwamba walikuwa wanauziwa kiwanja. Majini hayapo, na kama yapo basi Tupa kule hawafai.
 
Kumbe na wenyewe wana kwa Mtogole, Fundi Maiko, yaani ni masikini kiasi hicho?

Wangeachana na kujenga majengo yanayoonekana, waendelee tu kuishi kusikojulikana.
Yeah. Huku walikuja kujidhalilisha tu bure.
 
Unaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija

Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"

Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.

#halisimediatzView attachment 3295432
We mzee tunakuheshimu humu JF acha kuleta stori za kitoto unajivunjia heshima yako kwa mikono yako mwenyewe.
 
Hao Majini itakua walikua wanasoma VETA la 10, mbona msikiti wa kifala hivyo.
Tena hauna viashiria vya msikiti e.g. Tao, mwezi na nyota yake, jina la msikiti nalo lina utata.
Kwanza Raia walijuaje ni msikiti huu uongo wa Kiislam umevuka mipaka kwahiyo hata barabara za mchina zinazojengwa usiku Mashekhe wanadai ni Majini😂🚮
Hapo ujue Jamaa wa Allah' akbar walipiga hesabu za namna ya kujimilikisha pagale hilo. - wakaja na gia hiyo.
 
Back
Top Bottom