Ujue msikiti uliojengwa na majini

Ujue msikiti uliojengwa na majini

We mzee tunakuheshimu humu JF acha kuleta stori za kitoto unajivunjia heshima yako kwa mikono yako mwenyewe.
Ana hoja asikilizwe. Apewe nafasi ya kuitetea hoja yake akizingatia kwamba Ushahidi wa KUSIKIA haunaga mashiko huko Mahakamani.
 
Unaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija

Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"

Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.

#halisimediatzView attachment 3295432
Uganga umekushinda sasa umeanza kutuletea story za sungura
 
Hiyo dini kuna chochote kisicho Cha majini na mauganga na maushetani
Kumbe Mwamposa anakosea sn kuwaombea na kukemea Waislamu wenye majini wanaokwenda kwake kufanyiwa maombi ! kumbe wale ni ndugu zao mpaka wanaolewana wake, usishangae Shekhe akikuambia ana "Mke Jini"
 
Majini hayajui kujenga,ujenzi duni kabisa wa msikiti,majini yamechakachua material
Si nasikiaga eti majini yanaweza kujichakachua yenyewe kimaumbile e.g. saivi ni umbile la mtu baadaye niumbile la paka, nyoka n.k.?
Kwa mantiki hiyo, hao majini kipindi wanajenga, walikuwa ni katika umbile la nguruwe na wakajijengea ghetto lao hapo kwa ajili ya mapumziko mchana.
 
Unaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija

Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"

Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.

#halisimediatzView attachment 3295432
Kwa hiyo kila kiumbe kisichoonekana ni jini?
 
We mzee tunakuheshimu humu JF acha kuleta stori za kitoto unajivunjia heshima yako kwa mikono yako mwenyewe.
Wacha hizo
Uganga umekushinda sasa umeanza kutuletea story za sungura

Maneno hayo yalithibitishwa na Shehe wenu tena ni Dr.
Dr. Sule.
Naskia hata Saudi Arabia upo mwingine uliojengwa na hao viumbe:
Na leo kathibitisha Mganga mwenyewe:

Dr. Sule alisema hao waliojenga huo Msikiti ni wale Majini wema: yaani Waislamu:

Wewe huna mamlaka ya kumbishia Shehe Dr. Sule:
Mtafute U Tube; utamsikia kwa masikio yako.
 
Unaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija

Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"

Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.

#halisimediatzView attachment 3295432
Mbona li msikiti libaya hivyo? Majini haya designers wazuri?
 
Wale wanaotaka pesa za Majini:
Kumbe ni utapeli tu
Majini wenyewe hawana pesa,
Ona nyumba yao ya ibada ilivyo katika hali duni:
 
Inawezekana hiyo design ndio bora kuliko za kwetu sisi who knows?

Lakini kwakuwa binadamu ni mfano wa Mungu na viumbe wengine hawana ufanano na Mungu kama binadamu.

Basi naamini kabisa design za binadamu ni bora zaidi ya hao viumbe.
 
Yani majini na uwezo wao wajenge ako kamsikiti kamechoka ivo. Basi Majini ni dhaifu kuliko wanadamu.

Majini ni failure
 
Inawezekana hiyo design ndio bora kuliko za kwetu sisi who knows?

Lakini kwakuwa binadamu ni mfano wa Mungu na viumbe wengine hawana ufanano na Mungu kama binadamu.

Basi naamini kabisa design za binadamu ni bora zaidi ya hao viumbe.
Story za abunuasi izo
 
Back
Top Bottom