Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,658
- 49,094
Dhambi umewahi kuiona?Uongo ni dhambi.
Dhambi umewahi kuiona?Uongo ni dhambi.
wavuvi wanatupanga haoWale wanaotaka pesa za Majini:
Kumbe ni utapeli tu
Majini wenyewe hawana pesa,
Ona nyumba yao ya ibada ilivyo katika hali duni:
Abunuasi unamfahamu?Story za abunuasi izo
Wacha hizo
Maneno hayo yalithibitishwa na Shehe wenu tena ni Dr.
Dr. Sule.
Naskia hata Saudi Arabia upo mwingine uliojengwa na hao viumbe:
Na leo kathibitisha Mganga mwenyewe:
Amaa! Hivi kumbe Waislamu ni MajiniDr. Sule alisema hao waliojenga huo Msikiti ni wale Majini wema: yaani Waislamu:
Dr. Sule ndo boss wao majini?Wewe huna mamlaka ya kumbishia Shehe Dr. Sule:
Mtafute U Tube; utamsikia kwa masikio yako.
Dhambi umewahi kuiona?
Hapo unawekeza eneo sio msikiti wa majini....kwani tajiri anavonunua eneo lina majengo huwa ana shida na yale majengo?Hakuna mwenye akili timamu atakayewekeza mali yake halali kwenye hiyo takataka hapo.
Tajiri Mwekezaji hana shida na majengo LAKINI Walio jenga i.e. wenye jengo lao (Majini) watamsumbua sana. Bora mwekezaji aghairi atafute eneo lingine.Hapo unawekeza eneo sio msikiti wa majini....kwani tajiri anavonunua eneo lina majengo huwa ana shida na yale majengo?
Wangetumia akili na muda kumtafuta mjenzi na sio kusingizia eti ni majini ilhali wanajua majini hayapo. Wachawi wa pande hizo hawanaga interest na mamisikiti kwani hayana Tija kwao.Vipi kama huo msikiti ungejengwa bara huko mf shinyanga?
Watu wangesema ni majini? Au wangesema ni uchawi?
Wanajua wafuasu wao ni vilaza wataamin na wasioamin watapigwa mawe😂Tena hauna viashiria vya msikiti e.g. Tao, mwezi na nyota yake, jina la msikiti nalo lina utata.
Hapo ujue Jamaa wa Allah' akbar walipiga hesabu za namna ya kujimilikisha pagale hilo. - wakaja na gia hiyo.
Dah! Hao jamaa watafika wakiwa wamechoka sana.Wanajua wafuasu wao ni vilaza wataamin na wasioamin watapigwa mawe😂
Na ninahakika hawatofika kabisa.Dah! Hao jamaa watafika wakiwa wamechoka sana.
Majini hayana uwezo wa.kujenga bila kuwatumia binadamuUnaweza kudhani labda hii ni Historia ya Kutunga! Lahasha hii ni Historia ya kweli kabisa kutoka Kwa Wakazi Katika Visiwa Vya Comoro #ngazija
Msikiti Huu Uliopewa Jina #shiounda Ulijengwa na viumbe wasio Onekana na Binadamu yaani "Majini"
Msikiti Huu ulianza kujijenga wenyewe Kuanzia Hatua ya Msingi na Kila siku Baada ya siku zilipokuwa zikibadilika Wananchi wa eneo Hilo waliuona Msikiti Huu ukizidi kupanda Juu Bila kuona nani anaujenga.
#halisimediatzView attachment 3295432
Huiba,hata hela huiba na kukuletea yakikupenda1. Majini yalipata wapi saruji?
😉
Mengi yalikufa na machache yaliyobaki yalitapeliwa na binadamu na mengine yalifilisika😂Hivi wale majini handsome man na wale wadada uzuri wake mfano hakuna alafu wanakuhonga hela unaamka tu unazikuta chini ya mto, wana mapenzi ya kweli hadi unachanganyikiwa waliisha? Maana huyo hapo pichani kama ni jini sa ndio jini gani huyo Mshana Jr