Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya! Rais Samia Suluhu amerudisha sana heshima ya Tanzania kwenye diplomasia na sasa imerejea mahali pake, Serikali ya awamu ya tano ilififisha mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kuimarisha diplomasia iliyoanzishwa na watangulizi wake na sasa Tanzania tunaendelea kunufaika kupitia uhusiano huu.
Ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris nchini itaimarisha na kufungua zaidi fursa za biashara na uwekezaji.
Ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris nchini itaimarisha na kufungua zaidi fursa za biashara na uwekezaji.