Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,764
- 830,898
- Thread starter
- #181
Nayo pia hutumika saana na si mifupa tu bali hata mafuta nyama na kinyesi chake wenyeji wa mwambao huvitumia sana hivi vitu kujikinga na majinini utafiti umeufanya mkuu au!!vipi kuhusu mifupa ya nguruwe!!nimesikia kama utaweka mifupa ya nguruwe ndani kwako au kama unakula nguruwe mchawi hawezi kukufuata wala kukukaribia!Msaada hapo Mshana Jr