Ugwadu! Kiboko ya mchawi

Ugwadu! Kiboko ya mchawi

ni utafiti umeufanya mkuu au!!vipi kuhusu mifupa ya nguruwe!!nimesikia kama utaweka mifupa ya nguruwe ndani kwako au kama unakula nguruwe mchawi hawezi kukufuata wala kukukaribia!Msaada hapo Mshana Jr
Nayo pia hutumika saana na si mifupa tu bali hata mafuta nyama na kinyesi chake wenyeji wa mwambao huvitumia sana hivi vitu kujikinga na majini
 
Nayo pia hutumika saana na si mifupa tu bali hata mafuta nyama na kinyesi chake wenyeji wa mwambao huvitumia sana hivi vitu kujikinga na majini
ushirikina huu, haiwezekani mtu mwenye imani akalala na mikaa sindano ndimu mifupa na mavi ya nguruwe, kwanza hii kitu haiapply kwa watu wa dini zote sababu muislamu hawezi kulala na mfupa wa nguruwe, na mkristo ana Mungu ndani yake, mi naona hii ni tiba yako wewe na wasiomuamini Mungu. USHIRIKINA MTUPU.
 
ushirikina huu, haiwezekani mtu mwenye imani akalala na mikaa sindano ndimu mifupa na mavi ya nguruwe, kwanza hii kitu haiapply kwa watu wa dini zote sababu muislamu hawezi kulala na mfupa wa nguruwe, na mkristo ana Mungu ndani yake, mi naona hii ni tiba yako wewe na wasiomuamini Mungu. USHIRIKINA MTUPU.
Sidhani kama kila kitu ni ushirikina...Bwana Yesu alitumia chumvi kutakasa na chumvi mpaka leo inatumika huo sio ushirikina
Tuna tiba na kinga za asili zisizo na chembe ya ushirikina wala uchawi...elimu ya mzungu imeua values nyingi sana za kiafrika
Wengi wetu huwa tunashindwa kutofautisha kati ya tiba za asili na ushirikina labda tatizo ni kwakuwa vyote vinatumia miti mizizi na mimea
 
Vitu vinginevyo mmepewa akili, kila kitu yesu, hadi maleria mtasema yesu sasa,
...tutafanyaje sasa, ndo jina pekee tulilopewa na kimbilio letu dhidi ya wanga na wachawi. nyie mkitaja ndimu na malimao ulitegemea na sisi tukae tunashangilia mbinu zenu za kichawii..? na sisi tunataja kinachotulinda, shida iko wapi..? au ulishawahi kukutana na moto wa Jina la YESU...
 
Hata mimi nilidhani hivyo lakini nimeelewa sasa,Mkuu Mshana amepatia kabisa ,NDIMU sio mchezo sababu sisi kwetu wote tuliwekewa ndimu chini ya mto wakati tumezaliwa mpaka tunakua,na mauzauza sijui ndoto mbaya zoote kwishney marabuku.
Jamani kwa nini mnapenda porojo za ajabu ajabu.
 
...tutafanyaje sasa, ndo jina pekee tulilopewa na kimbilio letu dhidi ya wanga na wachawi. nyie mkitaja ndimu na malimao ulitegemea na sisi tukae tunashangilia mbinu zenu za kichawii..? na sisi tunataja kinachotulinda, shida iko wapi..? au ulishawahi kukutana na moto wa Jina la YESU...
 
Mshana hivi kama kuna kitu chako unahisi kimefanyiwa uchawi, mfano nyumba au shamba ukiweka ndimu huko ndani itavunja nguvu za giza zilizofanyika huko ndani?!
 
Mshana hivi kama kuna kitu chako unahisi kimefanyiwa uchawi, mfano nyumba au shamba ukiweka ndimu huko ndani itavunja nguvu za giza zilizofanyika huko ndani?!
Haivunji ila inafreeze kama kuna usumbufu ulikuwa unapata unakoma ila Inategemea ni uchawi wenye nguvu kiasi gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom