Aisee, kuna nyumba ya bi mkubwa wangu alizinguana na mpangaji akamtimua loo akasema utafugia vumbi tu tangu januari mpaka leo watu wanakuja kuangali hawarudi, haaahaa nacheka kweli kila akiniambia "leo tena mwingine kaja lakini hajarudi". ila nimemwambia asiamini sana ulozi ni mambo ya mwendo kasi tu watu wana hali mbaya., teh!Haivunji ila inafreeze kama kuna usumbufu ulikuwa unapata unakoma ila Inategemea ni uchawi wenye nguvu kiasi gani
