Ugwadu! Kiboko ya mchawi

Ugwadu! Kiboko ya mchawi

Mkuu Mshana nadhani ni muda wa kufanya maombi kwa Mungu unayemuamini atakulinda,kwa sisi wakristo ukijitakasa,ukaomba kwa imani...Mungu ni mwaminifu kabisa...
Tumtegemee Yesu, kulala na ndimu kila siku nayo ni shughuli.
 
Kama ukikosa ndimu au kitunguu saumu kwa wale wanoota ndoto za kulishwa vitu hasa nyama tumia mbilimbi pia zinafaa sana... Mbilimbi mbichi
 
Mbali ya mbilimbi
bilimbi-fruits-15515555.jpg
unaweza pia kutumia siki(vinegar) nako husaidia kufukuza NGUVU hasi
 
Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu

Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
47ae1e689511708025638d5f26237cd9.jpg
Si bora uongezee na ukali kabisa pilipili, utundike zote mlangoni, dawa ya kibaniani ya kuzuwia uchawi na uhasidi...
wpid-imgp9055_2-1.jpg
 
75c854470c3eb4d87e7f7d54f61847f9.jpg

Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu

Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
47ae1e689511708025638d5f26237cd9.jpg
kumbe!!! mbona kesho nitakuwa nayo !
 
kuna vitu vingi sana unajua ila watu tu wamezoea kusoma vitu laini kama magazeti ya ijumaa .upo anga jingine na hata juzi unawaambia kuwa manii za kiume au mafuta ya krisma au ekaristi takatifu huwa inachukuliwa na hawa wachungaji wengine kupata nguvu za giza watu bado hawakuelewi.upo levo nyingine ambayo watafikiri wewe ni kichaa.Wbongo kusoma ni shida!!
 
kuna vitu vingi sana unajua ila watu tu wamezoea kusoma vitu laini kama magazeti ya ijumaa .upo anga jingine na hata juzi unawaambia kuwa manii za kiume au mafuta ya krisma au ekaristi takatifu huwa inachukuliwa na hawa wachungaji wengine kupata nguvu za giza watu bado hawakuelewi.upo levo nyingine ambayo watafikiri wewe ni kichaa.Wbongo kusoma ni shida!!
kuna uchawi wa kujifunza na wewe ni mchawi tayari shida tu haufanyii mazoezi ila unajua mengi na hapo ndio wazungu wachawi wanatuzidi kwani huwa wakifanya utafiti wanajaribu.mzungu mchawi ni mbaya jamani
 
kuna vitu vingi sana unajua ila watu tu wamezoea kusoma vitu laini kama magazeti ya ijumaa .upo anga jingine na hata juzi unawaambia kuwa manii za kiume au mafuta ya krisma au ekaristi takatifu huwa inachukuliwa na hawa wachungaji wengine kupata nguvu za giza watu bado hawakuelewi.upo levo nyingine ambayo watafikiri wewe ni kichaa.Wbongo kusoma ni shida!!


Jr
 
75c854470c3eb4d87e7f7d54f61847f9.jpg

Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu

Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
47ae1e689511708025638d5f26237cd9.jpg
360gawa kwa 2=180

idadi ya ndimu kwa mwaka
Mara miaka utakayoishi duniani


Duhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.

Iman ndio njiapekee ya kuepuka gharama za kina Mwamposa
 
J
75c854470c3eb4d87e7f7d54f61847f9.jpg

Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu

Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
47ae1e689511708025638d5f26237cd9.jpg
Limau vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom