Sitanii
JF-Expert Member
- Nov 20, 2024
- 516
- 696
NJOSS hiiTuliita SUMU
Wale wa Halfmile na Msiwasi mtataja wenyewe jina la shule yetu pendwa.
NJOSS hiiTuliita SUMU
Wale wa Halfmile na Msiwasi mtataja wenyewe jina la shule yetu pendwa.
Ndiyo, tuliita sumu. Njombe Secondary school,,,NJOSSSumu?😀
Nakuona Junior wa NJOSSNjoss Boy
Ugali ulikua ukiitwa SUMU
mandazi yaliitwa KATARA
wali uliitwa NYALI
uji uliitwa POLA
Sitaki utani..😂😂😂😂Nakuona Junior wa NJOSS
Huko ilikuwa upareni au??Ila bora ugali na maharage.
Kuna shule nilipita, makande kwa week mara 4, nilikua naboreka hatariii. Khaaah
🤝Heshima kwako Mzee wangu
Hapana.Huko ilikuwa upareni au??
Sawa nimeacha,,,😂Sitaki utani..😂😂😂😂
NJOSS kuna msiwasi? Kuna halfmile?NJOSS hii
Hahahaha nigger, you guessed right.Chua tunakomenti wapi?
Ndio, tuliita sumu.Sumu?😀
Jina lilikua limezoeleka hadi unajisahau jina halisi la ugali maharage😀😀Ndio, tuliita sumu.
Kuna jamaa aliumwa tumbo siku moja usiku tukampeleka hospitali ya Tosamaganga kule Ipamba. Daktari anauliza ulikula nini mara ya mwisho? Jamaa akajibu SUMU.....daktari na manesi wakawa wanashangaa ikabidi tuwaweke sawa jamaa anamaanisha kala ugali maharage.
Hatari sana.Jina lilikua limezoeleka hadi unajisahau jina halisi la ugali maharage😀😀