financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
😀😀😀😀 ila kweli mtu anakula mafuta ya taa unategemea nini, usiombe mpishi azidishe kuweka yaani kabla hata hujaanza kula unaskia kushiba, mafuta yanavyonuka🙌Ushuzi wake ulikua ni balaa!!!Domitory yalikua ni mabomu kwenda mbele!Kuna mwana alikua akichana msamba lazima mfungue milango na madirisha!