minzemanonu
Senior Member
- Nov 15, 2015
- 139
- 186
Uko wapi mkuu? maana kuna kampuni ina vyakula vya fingerlings huko Arusha, lakini kwa bei zao ndio shughuli sasa, au uagize mwanza.Nishaweka oda ya vifaranga. Sasa nasaka chakula cha fingerlings. Ni adimu sana kwa sababu ya Corona
Sent using Jamii Forums mobile app