Je, teknolojia katika ufugaji wa samaki inaweza kuleta athari?

Pyaar

JF-Expert Member
Feb 11, 2018
15,341
75,513
Ukuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla.

Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki kimekuwa kikihimizwa kila leo kwa lengo la kuongeza uzalishaji ili kuendana na mahitaji ya soko.

Kwa Tanzania nimekuwa nikiona mabwawa yakichimbwa kwa ajili ya ufugaji samaki.

Lakini kumbe si mabwawa tu, pia fish cages zinaweza kutandikwa ziwani na uzalishaji wa samaki ukaendelea.

Kilichonifanya niandike hapa:-

i) Mbegu ngeni inayoletwa (Spp. ngeni)

Ufugaji huu unahusisha mbegu ngeni kutoka nchi za wenzetu (Tilapia spp) na inasemekana mbegu ngeni ni tamu ukilinganisha na hii ya kwetu ya asili.

Je, uwepo wa mbegu hii ngeni haiwezi kuitawala Spp. tuliyonayo, na mwisho wa siku tukapoteza kabisa ile ya kwetu?

ii) Aina ya chakula
Chakula kinachotumika kuwalisha hawa samaki inasemekana kina kemikali ambazo baadaye huwaathiri samaki majike na kugeuka kuwa madume.

Je, endapo hiyo kemikali itaathiri samaki wa asili na kukumbwa na mabadiliko hayo,kuzaliana kwa samaki wa asili kutaendelea kuwa sawa?

iii) Uvuvi haramu
Serikali yetu imekuwa ikipiga vita juu ya uvuvi haramu, je, huu uwekezaji hatuwezi kuuterm katika uvuvi haramu?

Wataalamu wa masuala ya uvuvi na kilimo cha samaki, naombeni elimu kuhusu hili.

 
Ukuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla.

Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki kimekuwa kikihimizwa kila leo kwa lengo la kuongeza uzalishaji ili kuendana na mahitaji ya soko.

Kwa Tanzania nimekuwa nikiona mabwawa yakichimbwa kwa ajili ya ufugaji samaki.

Lakini kumbe si mabwawa tu, pia fish cages zinaweza kutandikwa ziwani na uzalishaji wa samaki ukaendelea.

Kilichonifanya niandike hapa:-

i) Mbegu ngeni inayoletwa (Spp. ngeni)

Ufugaji huu unahusisha mbegu ngeni kutoka nchi za wenzetu (Tilapia spp) na inasemekana mbegu ngeni ni tamu ukilinganisha na hii ya kwetu ya asili.

Je, uwepo wa mbegu hii ngeni haiwezi kuitawala Spp. tuliyonayo, na mwisho wa siku tukapoteza kabisa ile ya kwetu?

ii) Aina ya chakula
Chakula kinachotumika kuwalisha hawa samaki inasemekana kina kemikali ambazo baadaye huwaathiri samaki majike na kugeuka kuwa madume.

Je, endapo hiyo kemikali itaathiri samaki wa asili na kukumbwa na mabadiliko hayo,kuzaliana kwa samaki wa asili kutaendelea kuwa sawa?

iii) Uvuvi haramu
Serikali yetu imekuwa ikipiga vita juu ya uvuvi haramu, je, huu uwekezaji hatuwezi kuuterm katika uvuvi haramu?

Wataalamu wa masuala ya uvuvi na kilimo cha samaki, naombeni elimu kuhusu hili.

Una hoja muhimu sana mkuu,ngoja,Wataalamu waje watusaidie,nami nipo siti ya Mbele kabisa.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Ukuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla.

Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki kimekuwa kikihimizwa kila leo kwa lengo la kuongeza uzalishaji ili kuendana na mahitaji ya soko.

Kwa Tanzania nimekuwa nikiona mabwawa yakichimbwa kwa ajili ya ufugaji samaki.

Lakini kumbe si mabwawa tu, pia fish cages zinaweza kutandikwa ziwani na uzalishaji wa samaki ukaendelea.

Kilichonifanya niandike hapa:-

i) Mbegu ngeni inayoletwa (Spp. ngeni)

Ufugaji huu unahusisha mbegu ngeni kutoka nchi za wenzetu (Tilapia spp) na inasemekana mbegu ngeni ni tamu ukilinganisha na hii ya kwetu ya asili.

Je, uwepo wa mbegu hii ngeni haiwezi kuitawala Spp. tuliyonayo, na mwisho wa siku tukapoteza kabisa ile ya kwetu?

ii) Aina ya chakula
Chakula kinachotumika kuwalisha hawa samaki inasemekana kina kemikali ambazo baadaye huwaathiri samaki majike na kugeuka kuwa madume.

Je, endapo hiyo kemikali itaathiri samaki wa asili na kukumbwa na mabadiliko hayo,kuzaliana kwa samaki wa asili kutaendelea kuwa sawa?

iii) Uvuvi haramu
Serikali yetu imekuwa ikipiga vita juu ya uvuvi haramu, je, huu uwekezaji hatuwezi kuuterm katika uvuvi haramu?

Wataalamu wa masuala ya uvuvi na kilimo cha samaki, naombeni elimu kuhusu hili.

Samaki wa kwenye mabwawa ni uchafu mtupu, tangu lini maji ya kunywa yakawa na ladha kuliko chakula "samaki"?

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Ukuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla.

Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki kimekuwa kikihimizwa kila leo kwa lengo la kuongeza uzalishaji ili kuendana na mahitaji ya soko.

Kwa Tanzania nimekuwa nikiona mabwawa yakichimbwa kwa ajili ya ufugaji samaki.

Lakini kumbe si mabwawa tu, pia fish cages zinaweza kutandikwa ziwani na uzalishaji wa samaki ukaendelea.

Kilichonifanya niandike hapa:-

i) Mbegu ngeni inayoletwa (Spp. ngeni)

Ufugaji huu unahusisha mbegu ngeni kutoka nchi za wenzetu (Tilapia spp) na inasemekana mbegu ngeni ni tamu ukilinganisha na hii ya kwetu ya asili.

Je, uwepo wa mbegu hii ngeni haiwezi kuitawala Spp. tuliyonayo, na mwisho wa siku tukapoteza kabisa ile ya kwetu?

ii) Aina ya chakula
Chakula kinachotumika kuwalisha hawa samaki inasemekana kina kemikali ambazo baadaye huwaathiri samaki majike na kugeuka kuwa madume.

Je, endapo hiyo kemikali itaathiri samaki wa asili na kukumbwa na mabadiliko hayo,kuzaliana kwa samaki wa asili kutaendelea kuwa sawa?

iii) Uvuvi haramu
Serikali yetu imekuwa ikipiga vita juu ya uvuvi haramu, je, huu uwekezaji hatuwezi kuuterm katika uvuvi haramu?

Wataalamu wa masuala ya uvuvi na kilimo cha samaki, naombeni elimu kuhusu hili.

Samaki wanaofugwa kwenye cage system hawawezi kuwa wanavuliwa kiharamu maana wale wanafugwa hawavuliwi kutoka katika mazingira yao ya asili. hivyo huwa wanavunwa kama wanavyovuna mazao mengine waliyopanda na hapo ni baada ya kufikisha umri sahihi na uzito sahihi kwa ajili ya kuvunwa.
 
Uzi kama huu hutoona wachangiaji wengi kwa sababu Mitanzania mingi akili zao wanazijua wenyewe.. mambo ya kipumbavu na umbea umbea utawaona mpaka wanaitana.

Nirudi ktk mada.

Binafsi nafuga Tilapia.. kwa njia ya kienyeji yaani bwawa la ukubwa wa 15x30.. kuna changamoto niliipata ktk ufugaji huu, hivyo natamani sana kuongeza maarifa, pia swala la mbegu ni jambo la muhimu sana, mie nilijikuta nina mbegu zaidi ya 4/5 za tilapia.

Kuanzia wale plain, wenye rangi nyekundu, wenye madoadoa, black etc.. pia ukuaji ukawa una variation.. jambo jingine ni chakula.. nilikuwa naandaa mwenyewe ila kuna namna ya kutengenez chakula kulingana na umri na size yao so haya yote yanahitaj elimu na exposure ya wafugaj wengine wanafanyaje..

Mkuu wewe unafuga or?
 
Uzi kama huu hutoona wachangiaji wengi kwa sababu Mitanzania mingi akili zao wanazijua wenyewe.. mambo ya kipumbavu na umbea umbea utawaona mpaka wanaitana.

Nirudi ktk mada.

Binafsi nafuga Tilapia.. kwa njia ya kienyeji yaani bwawa la ukubwa wa 15x30.. kuna changamoto niliipata ktk ufugaji huu, hivyo natamani sana kuongeza maarifa, pia swala la mbegu ni jambo la muhimu sana, mie nilijikuta nina mbegu zaidi ya 4/5 za tilapia.

Kuanzia wale plain, wenye rangi nyekundu, wenye madoadoa, black etc.. pia ukuaji ukawa una variation.. jambo jingine ni chakula.. nilikuwa naandaa mwenyewe ila kuna namna ya kutengenez chakula kulingana na umri na size yao so haya yote yanahitaj elimu na exposure ya wafugaj wengine wanafanyaje..

Mkuu wewe unafuga or?

Asante kwa mchango wako mkuu, mie sio mfugaji ila kilichonifanya kuandika hapa ni baada ya kuona aina hii ya ufugaji wa samaki unaofanywa na mwekezaji (Mchina) mmoja hapa kwetu.
 
Samaki wanaofugwa kwenye cage system hawawezi kuwa wanavuliwa kiharamu maana wale wanafugwa hawavuliwi kutoka katika mazingira yao ya asili. hivyo huwa wanavunwa kama wanavyovuna mazao mengine waliyopanda na hapo ni baada ya kufikisha umri sahihi na uzito sahihi kwa ajili ya kuvunwa.

Asante mkuu, lakini maana yangu ya kuiterm kama uvuvi haramu, ni pale mazingira ya samaki asilia pamoja na mazalia yake namna yanavyoathiriwa.
 
Asante kwa mchango wako mkuu, mie sio mfugaji ila kilichonifanya kuandika hapa ni baada ya kuona aina hii ya ufugaji wa samaki unaofanywa na mwekezaji (Mchina) mmoja hapa kwetu.
Anapatikana wapi..
 
Asante kwa mchango wako mkuu, mie sio mfugaji ila kilichonifanya kuandika hapa ni baada ya kuona aina hii ya ufugaji wa samaki unaofanywa na mwekezaji (Mchina) mmoja hapa kwetu.
Samaki wake anauza wapi???
 
Uzi kama huu hutoona wachangiaji wengi kwa sababu Mitanzania mingi akili zao wanazijua wenyewe.. mambo ya kipumbavu na umbea umbea utawaona mpaka wanaitana.

Nirudi ktk mada.

Binafsi nafuga Tilapia.. kwa njia ya kienyeji yaani bwawa la ukubwa wa 15x30.. kuna changamoto niliipata ktk ufugaji huu, hivyo natamani sana kuongeza maarifa, pia swala la mbegu ni jambo la muhimu sana, mie nilijikuta nina mbegu zaidi ya 4/5 za tilapia.

Kuanzia wale plain, wenye rangi nyekundu, wenye madoadoa, black etc.. pia ukuaji ukawa una variation.. jambo jingine ni chakula.. nilikuwa naandaa mwenyewe ila kuna namna ya kutengenez chakula kulingana na umri na size yao so haya yote yanahitaj elimu na exposure ya wafugaj wengine wanafanyaje..

Mkuu wewe unafuga or?
Good,
Kama miaka mitano nyuma nilifuga tilapia chotara na wale Mozambicus na cat fish. Ni kweli mbegu za asili zinatoweka kwa kasi ya ajabu, mimi nimeamua kutunza mbegu hizi za asili, mozambicus, tilapia na cat fish. Kwa sasa nakusanya cat fish jamii mbalimbali na kuwatunza vizuri.
 
Good,
Kama miaka mitano nyuma nilifuga tilapia chotara na wale Mozambicus na cat fish. Ni kweli mbegu za asili zinatoweka kwa kasi ya ajabu, mimi nimeamua kutunza mbegu hizi za asili, mozambicus, tilapia na cat fish. Kwa sasa nakusanya cat fish jamii mbalimbali na kuwatunza vizuri.
Mie kwa sasa nawafuga pamoja na Tilapia.. na nashangaa kuna utulivu wa hali ya juu.. ingawa wanasema Catfish anakula Tilapia.
 
Mie kwa sasa nawafuga pamoja na Tilapia.. na nashangaa kuna utulivu wa hali ya juu.. ingawa wanasema Catfish anakula Tilapia.
Ndiyo Cat fish wanakulana/wanakula tilapia
Sasa ukifanya polycuture (sijui kama nimepatia) kwa ratio maalumu, utafurahi na roho yako. Lazima ujue cat fish wangapi kwa tilapia wangapi.
 
Ndiyo Cat fish wanakulana/wanakula tilapia
Sasa ukifanya polycuture (sijui kama nimepatia) kwa ratio maalumu, utafurahi na roho yako. Lazima ujue cat fish wangapi kwa tilapia wangapi.
Ila kwangu sioni kama Tilapia wanapungua au kwasababu ya chakula ni kingi kwa Catfish? Kuna Tope la kutosha.. maji mengi bwawa kubwa tu.
 
Una hoja muhimu sana mkuu,ngoja,Wataalamu waje watusaidie,nami nipo siti ya Mbele kabisa.
Hakuna kitu mtaalam atakuja kupinga hata kama kitakuwa na athari kwa baadaye, kumbuka aliyezindua ufungaji huo ni nani alafu huyo mtaalam ambaye hajitaki ataongelea wapi?.

Labda aww humu JF kwa avatar fake ndipo apandishw uzi, vinginevyo subirini hadi yatukute ndipo wataalam fake waongee kwa wkt huo.
 
Ila kwangu sioni kama Tilapia wanapungua au kwasababu ya chakula ni kingi kwa Catfish? Kuna Tope la kutosha.. maji mengi bwawa kubwa tu.
Tilapia wana kawaida ya kuzaliana sana, na kama chakula kipo kingi hutaona wakipungua, ingekuwa kwenye ponds za kujenga kwa zege ungeona pelege wakiwa wakubwa sana na cat fish nao wakiongezeka uzito kwa kasi.
 
Tilapia wana kawaida ya kuzaliana sana, na kama chakula kipo kingi hutaona wakipungua, ingekuwa kwenye ponds za kujenga kwa zege ungeona pelege wakiwa wakubwa sana na cat fish nao wakiongezeka uzito kwa kasi.
Hizo za zege ndio nimewatoq catfish humo kwangu hawaongezek nimewawek waishi kama watakavyoishi wakiw ktk natural ponds...

Tilapia akiwa ktk ponds za zege uzaliaji wake si mkubwa maana kwa jinsi nilivyowasoma tabia yao wana mtindo wa kutengenez viota kama Kuku.. sasa ktk hii natural pond langu wanaviota vya kutosha sana...
 
Uzi kama huu hutoona wachangiaji wengi kwa sababu Mitanzania mingi akili zao wanazijua wenyewe.. mambo ya kipumbavu na umbea umbea utawaona mpaka wanaitana.

Nirudi ktk mada.

Binafsi nafuga Tilapia.. kwa njia ya kienyeji yaani bwawa la ukubwa wa 15x30.. kuna changamoto niliipata ktk ufugaji huu, hivyo natamani sana kuongeza maarifa, pia swala la mbegu ni jambo la muhimu sana, mie nilijikuta nina mbegu zaidi ya 4/5 za tilapia.

Kuanzia wale plain, wenye rangi nyekundu, wenye madoadoa, black etc.. pia ukuaji ukawa una variation.. jambo jingine ni chakula.. nilikuwa naandaa mwenyewe ila kuna namna ya kutengenez chakula kulingana na umri na size yao so haya yote yanahitaj elimu na exposure ya wafugaj wengine wanafanyaje..

Mkuu wewe unafuga or?
hongera sana mkuu. moja kitu nachowaza sana kukifanya siku za usoni. Je unafugia wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom