- Thread starter
- #21
Makala nyingi za ufugaji wa samaki zinatukumbusha kuwa ni hatari sana kujenga bwawa la samaki ktkt au kando kidogo ya mkondo wa maji, kwa sababu maji yakifurika yatasomba samaki wote, pili maji ya mkondo yanaweza kuja na udongo mwingi na kufunika bwawa, au yakaja na wastes ambazo ni sumu. kumbuka chanzo cha maji huwezi kuki-control wewe, ni maji ya mvua ambayo ni kumba kumba.
Sasa, unaweza kuacha umbali mkubwa kati ya bwawa na mkondo mama, kisha ukachimba mfereji wa kuingiza maji ktk bwawa lako ambao unaweza kufunga na kufungua kadri uonavyo kina cha maji. Vinginevyo uniambie una nguvu kubwa ya kujenga tuta kubwa na lenye uwezo wa kuhimili msukumo wa maji.
Nina jirani yangu mmoja alikuwa na bwawa la zuri la maji ya mvua, mwaka jana umepiga ukame bwawa likakauka, Mchungaji wangu yuko kisere Mkuranga alikinga mkondo kama wewe, samaki pori ni wengi sana.
Sasa, unaweza kuacha umbali mkubwa kati ya bwawa na mkondo mama, kisha ukachimba mfereji wa kuingiza maji ktk bwawa lako ambao unaweza kufunga na kufungua kadri uonavyo kina cha maji. Vinginevyo uniambie una nguvu kubwa ya kujenga tuta kubwa na lenye uwezo wa kuhimili msukumo wa maji.
Nina jirani yangu mmoja alikuwa na bwawa la zuri la maji ya mvua, mwaka jana umepiga ukame bwawa likakauka, Mchungaji wangu yuko kisere Mkuranga alikinga mkondo kama wewe, samaki pori ni wengi sana.