Baada ya kuona serikali inafuatilia mali za mafisadi ili kuzitaifisha naomba niikumbushe serikali hiyo kwamba isisahau kutaifisha yale majengo yaliyokuwa yanamilikiwa na Kampuni ya Sigara pale Segerea (Barakuda) Maana huyu fisadi aliyanunua kwa Tsh 4 billioni fedha za wananchi yageuzwe shule watoto waweze kusoma. Eneo linazo facilitities mbali mbali kuanzia shule nzuri ya watoto wadogo (Chekechea, Uwanja mzuri wa mpira na kadhalika.
sasa kama dada yake ni mke wa "mshikaji wako wa karibu sana" what the **** are you doing betraying their confidence in public? is it because haukunufaika? you make me sick!
Asante sana Nyambala, je unajua Adadi alimuuzia nini Johnson mpaka wakadaiana? je ni kweli alimtumia majambazi au group ya Zombe? au vijana wake mapolisi waliovalia sare? napenda kujua tu kwani kwenye luninga alionekana hana wasiwasi kabisa as if alikuwa picnic
Bwana mdogo sasa hivi yumo kwenye matatizo makubwa sana na serikali, hasa baada ya kuleta gari lake bongo la Range Rover kwenye ndege ya BA, akajiingiza kwenye msafara wa rais kwenda US na kukata tiketi ya First Class, ili aweze kupata fursa ya kuongea na rais kule, lakini kumbe alikuwa anazidi kujiponza,
Mmoja wa dada za huyu mkulu ni mke wa mshikaji wangu wa karibu sana, na wamenufaika sana na ufisadi wa mkulu, lakini sasa mambo sio mazuri kabisa, maana mkulu sasa is going down the hill kwa kukaliwa kooni na uwt!
sasa kama dada yake ni mke wa "mshikaji wako wa karibu sana" what the **** are you doing betraying their confidence in public? is it because haukunufaika? you make me sick!
Mkuu ES,
Huyu jamaa si ndie kaalikwa mpaka kuhudhuria Sullivan summit kule Arusha? Huyu kweli kakaliwa kooni?
Au JK ni usanii mwingine anatufanyia?
Angalieni hapa:
The 8th Sullivan Summit - Business Profiles Informations
Atapigana vikumbo na JK huko Arusha.
updates? maana last time niliskia alikuwa hana hata pesa ya petroli sijui ukweli ukoje
Mmmmmmmmhhhhhhhhhh kyonka bojo!!!!!!!!!!!!!!He's nobody in politics or national leadership only a petty criminal. Alitumiwa na mke wa marehemu Balali kuunda ka-kampuni walikotumia kuchua pesa ya EPA.
Familia yao wana uzoefu na haka kautamaduni ka ufisadi; kaka yake aitwaye Makubo aliwahi kuchukua pesa za OGL na DCP miaka ya '80s kwa mtindo huu, wakazitafuna hadi zikaisha na wakapigika kisawasawa hadi kuamua kuwa wakawa walokole familia nzima. Tangia wapate dili la EPA hawajaonekana tena kanisani.
Mzee Mwanakijiji makampuni ya dogo Johnson yanadunda tu, vibao tu kwenye ofisi zake Ada Estate ndo kabadilisha kidogo,neno 'Kernel' kaondoa.Hivi makampuni ya Lukaza yanaendelea na shughuli zake kama kawaida?
mkuuu juzijuzi nimemuona mlimani city yuko kwenye VX katulia utafikiri nothing is goin on in other words kama vile kesi imeisha na yuko huru uraiani .......updates? maana last time niliskia alikuwa hana hata pesa ya petroli sijui ukweli ukoje
The end is coming soon! the nation shall rise and gain his status!mkuuu juzijuzi nimemuona mlimani city yuko kwenye VX katulia utafikiri nothing is goin on in other words kama vile kesi imeisha na yuko huru uraiani .......
ufisadi kwisha kazi ...mwe!!!............
ukiwa mwenyewe bongo utapa bila matatizo, lakini kwenye internet upati hata hufanyeje...Ufisadi pembeni for a min,
Hivi mtu ukiwa na milioni 35 unaweza kuchukua ki flat cha two bedrooms uwaweke wadogo bongo? au hii ilikuwa then and this is now utaambiwa bei za ajabu?