Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

Kwamba abaya kiingereza chake ni abaya.

Nimejua sasa hivi.

Hoja ni "Hutakiwi kuitambua dini kwa mavazi" nafikiri na rozali hazivaliwi shule zote za serikali ama sivyo?
Yaaah hazitakiwi kuvaliwa kabisa, nakumbuka advance pale Same Kuna watu waliadhibiwa Kwa kuvaa rozali na walimu wakristo wote waligwaya kuwaadhibu wale wanafunzi ndo akaja mwalimu mwislamu alikuwa anaitwa (sw*di) akawatandika
Waliosoma same mwaka ule wanakumbuka na waliokuwepo assemble
 
Wapo sahihi wangeenda Hadi kwa watumishi was serikali kwa sababu wanahudumia watu was Imani tofauti.
Shuleni mbali na elimu wanayopata wanafunzi pia wanajifunza jinsi ya kuishi kwenye jamii, unapoanza kuwatofautisha kwa Alana za dini ni wazi unapandikiza mbegu za udini moyoni mwao.
Kwa watumishi was serikali ni wazi mtu anapoenda kuhudumia anatakiwa asikwaze kuwa akihudumiwa na mtu was Imani nyingine hatapata huduma sahihi.
 
waislam gani hao wa afrika magharibi? Kumbuka kuwa makoloni mengi ya ufaransa afrika ni nchi za kiislam na ndiyo imewajaza nchini mwake mpaka waliingia mavazi yao kidini, wafuate sheria za nchi waliokaribishwa

Kule Berlin 1884 wwalipogawana keki juu ya meza si Muislam ndiyo alikuwa anaikatakata, au siyo?

Hivi Italy ilimuwakilisha nani kwenye ule mgao?
 
WanaAbaya mnahaya nyie, hamna maana kabisa ninyi, wanaabaya na ubaya wenu?
Hatuna kabisa, wenye haya ni wale wanaotembea nusu uchi, au siyo?

MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI​




Mchungaji mmoja nchini Kenya amewaambia wanawake waumini wa kanisa lake waache kuvaa nguo za ndani wanapohudhuria ibada ili "mungu aweze kuwaingia vema na kwa urahisi"
Mchungaji huyo anaejulikana kwa jina Njohi wa kanisa la Lord's Propeller Redemption Church la Nairobi amesema hayo kwa wanawake wa kanisa hilo huku akiongezea kuwa kuingia kanisani bila nguo ya ndani kunasaidia mtu kuwa huru kimwili na kiroho ili kumpokea vema kristu kwa mujibu wa "Kenyan Dialy Post"
Pia amewaonya kuwa wafuate maagizo hayo kuepuka madhara watakayoyapata kama hawatafuata maagizo hayo.Lakini inaaminika kuwa maagizo hayo hawajapewa wanaume wa kanisa hilo.
Wanawake wa kanisa hilo wameanza kufuata maagizo hayo ya kuhudhuria ibada bila nguo za ndani na mchungaji amewambia wanawake hao kuwafuatilia mabinti zao kama nao wanafuatilia agizo hilo.
Kanisa hili liko eneo la Dandora mashariki mwa jiji la Nairobi.

Chanzo: MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI
 
Back
Top Bottom