Aongoze nchi ndogo yenye watu zaidi ya 2millions kwa zero form 4 feki form 6Makondakta kwanza maana anamtia pressure dereva wake na hiki chombo kimekosa speed governor kuna ajali mbele. Tunarudisha chombo kisiende mrama wanaJf tushirikiane kutokomeza manahodha feki
Mkuu wekaga mwaka mliomaliza tuangalie matokeo kama majibu yalitoka kwa majina na kama yalitoka kwa namba kausha.Hakuna mikakati yoyote, mimi nimezungumza kama classmate tu wa WEGESA CHARLES ambaye ninyi mnamfahamu kama JOHN HECHE, Je, jina la JOHN Heche ni la kununua CHETI au kalipataje ?
Kuchaguliwa na wananchi hakumuondolei mtu tuhuma za kutumia cheti cha mtuhuyu kachaguliwa na wananchi, hajateuliwa na mtukufu, vitu vi2 tofauti,
Who is John Heche, yuko wapi kwa sasa, anafanya shughuri gani, ndugu zake wako wapi, wanafanyashughuri gani etc. Toa majibu ya maswali hayo kabla hujahamisha mjadala.WEGESA CHARLES pia anatumia cheti cha JOHN HECHE - He is My classmate & Homeboy na kama anabisha aje akanushe hapa
Kiukweli hapa ndio penye maajabu
- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?
---------------
---------
Nasubiri kama atakuja kukanusha na kubisha nimwage hapa hapa data kamili - Wegesa Charles is my Homeboy, School & ClassMate
Usiwe na haraka sana mkuu - mambo ndio kwanza yameanzaMkuu wekaga mwaka mliomaliza tuangalie matokeo kama majibu yalitoka kwa majina na kama yalitoka kwa namba kausha.
Our circuit is series arrangement,not parallel.
Tunashughilikia moja baada ya jingine.
Precedence ya tukio moja inatumika kusolve tukio linalofuata
Inaruhusiwa kubadilisha jina kwa kuapa mahakamani. Wengi walibadili majina walipofika form 4, form six., ila hasa ilikuwa form 4. Najua umelenga kumtetea Bashite, Bashite alitumia cheti cha mtu mwingine, quite different scenarios!
si tumemkubali wenyewe, kwani wananchi tulikuwa hatujui hayo, tulimkubali tukampa kura, huyu hata mseme vipi ni sisi wananchi ndio tunaoweza mtumbua na sio mtukufu, hajateuliwa na mtukufu, huyu kachaguliwa na sisi na kwa mapenzi yetu sisi wananchi wa jimbo lake,Kuchaguliwa na wananchi hakumuondolei mtu tuhuma za kutumia cheti cha mtu
Yy alipata bashite ya kidato cha ngap?MBONA OLE SENDEKA KAPATA 0 LAKINI NI MKUU WA MKOA,,HEBU TUACHENI TUMALIZANE NA BASHITE KWANZA..
PointlessWatu hawana kazi zakufanya