Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

subiri kwanza tumalizane na DAB
Untitled-1.jpg
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?
Inaruhusiwa kubadilisha jina kwa kuapa mahakamani. Wengi walibadili majina walipofika form 4, form six., ila hasa ilikuwa form 4. Najua umelenga kumtetea Bashite, Bashite alitumia cheti cha mtu mwingine, quite different scenarios!
 
Mkuu wa mkoa kwanza, sbb anasimama kwa ajili ya raisi. Wabunge baadaye kama alidanganya elimu kwa wananchi na NEC ,atalalamikiwa na wagombea aliowangusha.
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?
Tukishamalizana na RC Bashite tuletee hili kwasababu tunaweza tukachanganya mada tukakosa jibu
 
Hii inaonyesha ni kweli bashite anatumia cheti cha mtu, ndiyo maana mnatafuta pa kupoozea...awe heche awe makonda kama wana vyeti fake watumbuliwe
 
La kwako majibu yake ni rahisi tu jamaa aliamua kuokoka na akabatizwa Kwa jina la JOHN CHARLES! ...Haya tuendelee na BASHITE Ambaye hana pakuchomokea,
 
kama tumeamua kudili na watu ambao wanahisiwa kufoji vyeti vyeti tusiweke double standard vinginevyo itaonekana kama tunashambulia watu kwa chuki binafsi mwacheni john hech ajibu mwenyewe badala ya kumjibia nafikiri baada ya hapo wengine wengi wataibuliwa
 
Gwajima kaumwaga wote mpaka vyeti anavyo.Jumapili tunategemea na wazee kutoka kijijini.Leta na wewe wa kwako.

utasubiri sana hapo kwa gwajima,nalo litapita kama neno lake bwana halitosimama.jpili ni masaa tuu yamebakia ndugu.
 
Back
Top Bottom