Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Hili halikubaliki mahali popote duniani ila kama sisi wa Tz tutabariki hili itakuwa nchi ya kwanza duniani
Haiwezi kuwa nchi ya viwonder kama wateuli wanakuwa vilaza sizonje, faru faustina or faru John ajiangalie sana
 
BASHITE KWANZA kisha tuhakiki ze phd...zeni tuhamie kwingine(meno yangu!!)[emoji39] [emoji3] [emoji12] [emoji12]
 
Mimi natokea mkoa Wa Mara kutokana na ufinyu Wa nafasi za kuchaguliwa hasa miaka ya nyuma ambapo sekondari za serikali zilikuwa chache watu wengi walikuwa wanakosa nafasi ingawa wanakuwa na ufaulu Wa juu hivyo unakuta mtu karudia darasa la saba hata Mara saba na karibuni Mara zote anatumia majina ya wanafunzi wengine walio acha shule kwa ufupi kuna watu wengi sana wanatumia majina ya watu wengine ingawa walifaulu kihalali. So hii ni tofauti na mtu aliyegushi cheti cha mtu
Tumia akili kidogo - Musoma Tech. siyo shule ya msingi, hebu jiongeze kidogo
 
Mamlaka ziwape haki yao wote - yeyote aliyedanganya awajibike kwa udanganyifu, wizi na kula njama.

Tumeshafahamu:-
1. Daudi Bashite,
2. Wegesa, endeleeni kuweka mengine
 
Mkuu wekaga mwaka mliomaliza tuangalie matokeo kama majibu yalitoka kwa majina na kama yalitoka kwa namba kausha.
Kama matokeo yao ni ya namba basi bado wadogo sana ila angeweka jina lake hewani kama gwajima alivyojitoa hewani. Kama kweli konda angekuwa hajaruka angeshaenda mahakamani kutafuta umaarufu zaidi
 
Bwana John Heche aka Wegesa tulikua tunamuita Osama Kwenye kanda maalum ya Musoma Tech mana alikua mtata hakuna
 
Tupe muda kidogo tumalizane na BASHITE then hao wengine watafuata.
 
Hapa hatuzungumzii kuhusu utumishi - Tunazungumzia tuhuma za kutumia vyeti ambavyo si vyako pamoja na majina ya mtu mwingine - No body is above the law
TUAMBIE JOHN HECHE UNAYEMFAHAMU WEWE AMESOMA SHULE IPI ? WEGESA AMESOMA SHULE IPI.....TUMEPEWA CV YA BASHITE HAPA , MBONA HATUIONI YA WEGESA VS JOHN HECHE....USIWAFANYE WATANZANIA MABWEGE NA WA KUCHEZEWAA CHEZEWAA.......HOJA YAKO HAINA MANTIKI NA KUENDELEA KUIJADILI HAKUNA HAJA.
 
Aisee tuache kwanza tumalizane na Bashite sio kuleta bla blaa hapa
 
Huyu cheti chake hakina athari sana kwa Wananchi maana wananchi wenyewe wanamkubali.Tatizo lipo kwa Daudi Bashite ambaye amekuwa mstari wa mbele kuita wenzake Vilaza.
Yawezekana pia John Heche cheti kisiwe chake[emoji23] [emoji23]

Vita ya watu wazima wanavuana nguo
Watu weweeeeee
 
TUAMBIE JOHN HECHE UNAYEMFAHAMU WEWE AMESOMA SHULE IPI ? WEGESA AMESOMA SHULE IPI.....TUMEPEWA CV YA BASHITE HAPA , MBONA HATUIONI YA WEGESA VS JOHN HECHE....USIWAFANYE WATANZANIA MABWEGE NA WA KUCHEZEWAA CHEZEWAA.......HOJA YAKO HAINA MANTIKI NA KUENDELEA KUIJADILI HAKUNA HAJA.
Achana naye huyo huenda makondakta ni mjomba wake ile na yeye aendelee kuomba mia mia inamlazimu kupigania unga wa mjomba wake. Lakini nimuhakikishie mungu hamfichi mnafiki lazima makondakta ataumbuka tu.
 
TUAMBIE JOHN HECHE UNAYEMFAHAMU WEWE AMESOMA SHULE IPI ? WEGESA AMESOMA SHULE IPI.....TUMEPEWA CV YA BASHITE HAPA , MBONA HATUIONI YA WEGESA VS JOHN HECHE....USIWAFANYE WATANZANIA MABWEGE NA WA KUCHEZEWAA CHEZEWAA.......HOJA YAKO HAINA MANTIKI NA KUENDELEA KUIJADILI HAKUNA HAJA.
Hebu nipe cv za faru John
 
Kwamba Heche naye ni mkuu wa mkoa anayeita watu matahira
 
Back
Top Bottom