Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?

---------------
---------
Nasubiri kama atakuja kukanusha na kubisha nimwage hapa hapa data kamili - Wegesa Charles is my Homeboy, School & ClassMate
Wegesa ni jina la kike
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?

---------------
---------
Nasubiri kama atakuja kukanusha na kubisha nimwage hapa hapa data kamili - Wegesa Charles is my Homeboy, School & ClassMate


SUBIRI bado tupo Form IV na DB aka PM tukimaliza tutakuja chuo
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?

---------------
---------
Nasubiri kama atakuja kukanusha na kubisha nimwage hapa hapa data kamili - Wegesa Charles is my Homeboy, School & ClassMate
Acha maneno leta vyeti vya davido....alipata ziro ndio akabadili gia hewani kwa cheti cha paulo
 
John Heche sio mtumishi wa serikali,analipwa kwa imani ya wana Tarime. Daudi Bashite analipwa kwa ridhaa ya mtu mmoja.Tunataka Daudi Bashite ahesabiwe haki kwanza
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?

---------------
---------
Nasubiri kama atakuja kukanusha na kubisha nimwage hapa hapa data kamili - Wegesa Charles is my Homeboy, School & ClassMate
Alipata Division gani?
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?

---------------
---------
Nasubiri kama atakuja kukanusha na kubisha nimwage hapa hapa data kamili - Wegesa Charles is my Homeboy, School & ClassMate
Hata ulivyoandika unaongelea watu wawili sasa wasiwasi wako uko wapi? Ebu lisome tena na tens swali lako ugundue kasoro.
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?

---------------
---------
Nasubiri kama atakuja kukanusha na kubisha nimwage hapa hapa data kamili - Wegesa Charles is my Homeboy, School & ClassMate
Usituhamishe kwa Daud Bashite Tafadhali
 
Aongoze nchi ndogo yenye watu zaidi ya 2millions kwa zero form 4 feki form 6
Hili halikubaliki mahali popote duniani ila kama sisi wa Tz tutabariki hili itakuwa nchi ya kwanza duniani
 
John Heche sio mtumishi wa serikali,analipwa kwa imani ya wana Tarime. Daudi Bashite analipwa kwa ridhaa ya mtu mmoja.Tunataka Daudi Bashite ahesabiwe haki kwanza
Hapa hatuzungumzii kuhusu utumishi - Tunazungumzia tuhuma za kutumia vyeti ambavyo si vyako pamoja na majina ya mtu mwingine - No body is above the law
 
Mimi natokea mkoa Wa Mara kutokana na ufinyu Wa nafasi za kuchaguliwa hasa miaka ya nyuma ambapo sekondari za serikali zilikuwa chache watu wengi walikuwa wanakosa nafasi ingawa wanakuwa na ufaulu Wa juu hivyo unakuta mtu karudia darasa la saba hata Mara saba na karibuni Mara zote anatumia majina ya wanafunzi wengine walio acha shule kwa ufupi kuna watu wengi sana wanatumia majina ya watu wengine ingawa walifaulu kihalali. So hii ni tofauti na mtu aliyegushi cheti cha mtu
 
Huyu cheti chake hakina athari sana kwa Wananchi maana wananchi wenyewe wanamkubali.Tatizo lipo kwa Daudi Bashite ambaye amekuwa mstari wa mbele kuita wenzake Vilaza.
Ndio upumbavu wenu mkifanya nyie vibaya mko sahihi lakini wengine wanakosea tatizo elimu yetu imetoa mambumbu wengi
 
Back
Top Bottom