Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?
Kabla hujaenda mbali weka jina lako halisi na cheti cha kuzaliwa ili pindi john akileta ushahidi aweze kudili na wewe vizuri. Siyo vizuri kuongelea nyuma ya keyboard. Na kwa kuongezea lete uthibitishi wa unayoyasema kwa nakala ya vyeti
 
Alipata ufaulu gani wakati akiwa msoma tech.
 
Ushahidi wa Bashite utakuja jumapili toka kjj cha koromije Karibu ufufuo family uone kws macho yako ushahidi mwingine huo hapo juu
3d5dc283b630e4652cb17db6f2ae7137.jpg
e4cae132db3675428a5017bcba1fbaf0.jpg

mtu akisema "nataka ushahidi "unaelewa vizuri ushahidi? kwanza elewa hiyo uliyotuma ni result slip na sio cheti nakumbuka kipindi nilivyokuwa nasoma form 5 nilitumia results slip lakini baadae niliambiwa nikalete cheti , bila cheti nisingeweza kufanya mtiani wa form 6. we unadhani ni kwa nini?.... huo ushahidi pekee hauwezi ukamfunga mtuu ni isitoshe ni mwepesi sana kila mtu anaweza aka udownload mtandaoni.
 
Our circuit is series arrangement,not parallel.

Tunashughilikia moja baada ya jingine.

Precedence ya tukio moja inatumika kusolve tukio linalofuata
Well Said
 
Kabla hujaenda mbali weka jina lako halisi na cheti cha kuzaliwa ili pindi john akileta ushahidi aweze kudili na wewe vizuri. Siyo vizuri kuongelea nyuma ya keyboard. Na kwa kuongezea lete uthibitishi wa unayoyasema kwa nakala ya vyeti
Nakubaliana na utaratibu wako - ila nitautumia kama utatumika kwa watuhumiwa wote wa vyeti vya watu wengi kama WEGESA CHARLES anavyotumia CHETI CHA JOHN HECHE
 
Haramu hai halalishwi na haramu!!!
Bashite
 
I wish ningekuwa navyo... hata mm navitafuta kweli vya bashite xo ukiviona nijuze....kufoji na kutumia cheti cha mtu mwingine hai au mfu ni kosa kisheria.
Hivi wale repeaters wa shule za msingi wanakuwa kwenye category gani kisheria?Hawajafoji vyeti, walifaulu kwa akili zao ila kwa majina yasiyo yao.Hawa tunawaweka kundi gani?Nawakumbuka sana nilikuwa nashika namba 1 darasani ilipofika la darasa la 6 wakaletwa watatu nikaanza kushika namba 4.
 
tuendelee na Bashite ndio habari ya mjini now Heche ni mbunge anaependwa zaidi huwezi mchafua kihivyo.
 
Back
Top Bottom