Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

Hapo ndiyo penyewe. Vyote vijibiwe. Mh. Heche toa majibu au ufafanuzi wa hoja hiyo. Ndg mleta mada nawe leta vielelezo bayana
hatua ya kwanza.tumalize suala la bashiite...kama lilivyotangulia .baadae tushughulikie vyeti vingine...hatua kwa hatua,ladder by ladder !
 
Bashite Kwanza...Heche ni Mbunge kama nae ame forge kupata ubunge tutafuata baadae! Kwanza Bashite
 
Makondakta kwanza maana anamtia pressure dereva wake na hiki chombo kimekosa speed governor kuna ajali mbele. Tunarudisha chombo kisiende mrama wanaJf tushirikiane kutokomeza manahodha feki
 
Sasa mnataka vyeti vya BASHITE sis tuvitoe wapi wakati kavifungia masaki hataki kuvitoa tumeleta result slip nayo hamuitaki vyeti anavyo mwenyewe ndo mumwambie avitoe sasa maana vyeti ni vyake sisi hatuwezi kuwa navyo sisi tuna ushahidi wa oral evidence na visual tu
 
Nakubaliana na utaratibu wako - ila nitautumia kama utatumika kwa watuhumiwa wote wa vyeti vya watu wengi kama WEGESA CHARLES anavyotumia CHETI CHA JOHN HECHE
Kwa mwigulu wapo waliojitokeza kwa majina yao halisi,kigwangala vilevile,makonda pia yupo na unamjua
 
hatua ya kwanza.tumalize suala la bashiite...kama lilivyotangulia .baadae tushughulikie vyeti vingine...hatua kwa hatua,ladder by ladder !
Hakuna haja ya hatua wote wajibu, sumu ni sumu hata uitie sukari.
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?
huyu kachaguliwa na wananchi, hajateuliwa na mtukufu, vitu vi2 tofauti,
 
Hivi wale repeaters wa shule za msingi wanakuwa kwenye category gani kisheria?Hawajafoji vyeti, walifaulu kwa akili zao ila kwa majina yasiyo yao.Hawa tunawaweka kundi gani?Nawakumbuka sana nilikuwa nashika namba 1 darasani ilipofika la darasa la 6 wakaletwa watatu nikaanza kushika namba 4.
Hilo ni kundi mojawapo la Bashite
 
nasikia ukianzA kuorodhesha namba nzima lazma uanze na Bashite ;2;3;barcelona;arsenal........endelea mwenyewe
 
Kiukweli hapa ndio penye maajabu

- Kwanini aitwe JOHN HECHE wakati tumesoma wote Musoma Tech. ukiitwa WEGESA CHARLES ?

Atakuja kukujibu kwa nafasi yake.Cha msingi tunahitaji vyeti vya Bashite
 
Hilo ni kundi mojawapo la Bashite

Umefanya research?Wenzio wamemtafuta mpaka kwenye shimo,tuletee vigezo vyako kwanza na kwa sasa usituamishe kwenye mada,tuko na BAshite
 
Back
Top Bottom