grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Mkuu kwani wanaliona hilo, wao wamekazana refa amewaonea. Kwani wasingecheza faulo za kijinga kama za kipa wao, sanogo na rose, refa gani mjinga angewapa kadi?tuko pamoja
kupewa kadi sio lazima umuumize mpinzani,tafadhali elewa hilo.kufanya faulo makusudi hata mtu asipoumia lazima upewe kadi,rangi ya kadi itategemea na eneo ulilofanyia kadi na situation.
pili,faulo 16 za arsenal sina uhakika nani alirudia au la,lakini naweza kukuelezea kadi mbili za njano kwa nini zilitolewa... moja ya SANOGO he lunged into the goalkeeper very late,he could have avoided him, ya pili ROSCISKY he fouled Bayern player intentionally after losing the ball and realizing the imminent danger,kama utakumbuka vizuri imediately after that he played another stupid foul which on another day he could have a second yellow but ref waived it
kwahio yellow za arsenal ni sahihi kabisa kama zile za bayern,wether kuna jambo lingine kwenye faulo 8/16 sijui unasema nini
Ukiwapa ukweli hasa huyu anayejiita balali, kwenye uzi wa mdau mmoja hapo juu anajidai kukubali wakati maelezo kama hayo nilikwishampatia mimi, akasema mimi ni mnazi sijui kuchambua. Hao ni watu wanaotapa tapa mlango wa kutokea wameshauona wanabakia kupiga kelele kwa refarii tu.
Mbona mara zote wanapobebwa na kufunga magoli ya kuotea kwenye EPL huwa hawamlaumu mwamuzi kwa kuwapendelea!!!...