UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
hapo kwenye redi umekosea au?

tatizo kwa refa lilkuwepo labda tujifanye hatukuona.

Nisawa na mchi ya man city, faul ilichezwa mapema kati ya uwanja refa akafumba macho, ikapigwa ndefu ikazaa red na penati na messi kufunga. angeiona ile ya kwanza nadhani man city wasingepata red card

Inawezekana bayern na bacelona wazuri lakini marefa wa mechi hizo mbili walichangia kuharibu mechi kiasi flani.

red nimekosea[8]...nilijua ulipokuwa unaenda na ndio maana nimejaribu kuchambua as neutral as possible mngeshinda msingesema refa kaharibu....

unajua kuwa Mueller aliangushwa na Kolschieny na ilitakiwa iwe penalty??sijakusikia ukimlaumu refa kwa hilo,kwahio unataka kusema kadi nyekundu aliotoa refa haikustahili??[maanake hio ndio ilibadili mchezo hilo liko wazi] na kama ilistahili utasema vipi refa kaharibu mchezo??

hivi unajua kuwa Ozil alipokea ile pass akiwa offside kabla ya kupata ile penalty???[kaangalie tena hii mechi. kama mngeshinda msingeona makosa ya refa[kwangu mimi ni maamuzi sahihi kwa bayern] ila kwenu refa kafanya blunder mbili on your favor [1]penalty ya Mueller kabana[2]Ozil alikuwa offside kabla ya penalty
 
Mkuu Mimi naongea kwa vigezo vyote tena sio kwa ushabiki!

Labda nikuulize! Unakumbuka Emanuel Almunia Yule kipa Wa arsenal alipata vp no ya kucheza?

Alipata baada ya kipa Nguli Wa ujerumani Jens Rehman kufanya makosa na timu ikafungwa na akashindwa kudaka Penati!

Sasa angalia mtiririko Wa makosa ya Ozil na ni namna gani timu inaghalimika?

Hapo ndipo utakubali maamuzi ya makocha vichwa km Mourinho na Babu Alex! Mchezaji akileta uzembe tu ata km ni star Kiasi gani! Lazima awajibishwe! Ushahidi Wa haya ni mwingi tu! Na Km ni mdau Wa soccer bila Shaka wayajua haya!


mkuu ni mtazamo wako, lakini kiwango cha ozil hakijakuwa cha hovyo kwa maana unayoilezea.
 
La mkuu nashukuru kwa maelezo, lakini

hakuna sehemu yoyote niliyopinga kadi nyekundu

hakuna sehemu yoyote niliposema mchezaji flani apate kadi nyekundu

Pili

Nimekuwa najaribu kuweka sawa maelezo ya mhusika ninayemjibu

katika hizo faul 8 kwa 16 mnadhani kimsingi wingi wa madhambi au filimbi unaashiria nini?

aliongelea kusukuma na kutumia mwili bila kuhatarisha usalama wa mwingine, hapo nikasema je ushika kwanini upewe kadi? wakati hujauumiza?

idadi ya madhambi inaashiria pia kutokuwa makini kwa refa, maana professinal faul huwa nikidogo lakini kesha wahalibia move, na mwishowe kufungwa.

katika machezaji 11 wa bayarn faul 16 ina maana kuna wachezaji kwa uchache 3wamefanya faulo zaid ya mara tatu.....

Kupuliza filimbi mara 16 kunaashiria jambo flani, maana hoja ikaletwa kwamba walirudiarudia nimeuliza kwa asernal ninani

alirudia rudia? au sio kwamba nawao ni mara moja moja na lakini beyarn wametwanga twice as much ????

Ki ukweli Munich walipaswa wapate red na wao! Pamoja na Kua nimewatabiria Munich kufika mbali Lkn kwa mpira Wa Jana Munich hawakucheza vzr km tunavyowajua!

Na hapa naweza sema second leg na arsenal, arsenal atashinda Ingawa Munich atapata goli ata Moja!
 
red nimekosea[8]...nilijua ulipokuwa unaenda na ndio maana nimejaribu kuchambua as neutral as possible mngeshinda msingesema refa kaharibu....

unajua kuwa Mueller aliangushwa na Kolschieny na ilitakiwa iwe penalty??sijakusikia ukimlaumu refa kwa hilo,kwahio unataka kusema kadi nyekundu aliotoa refa haikustahili??[maanake hio ndio ilibadili mchezo hilo liko wazi] na kama ilistahili utasema vipi refa kaharibu mchezo??

hivi unajua kuwa Ozil alipokea ile pass akiwa offside kabla ya kupata ile penalty???[kaangalie tena hii mechi. kama mngeshinda msingeona makosa ya refa[kwangu mimi ni maamuzi sahihi kwa bayern] ila kwenu refa kafanya blunder mbili on your favor [1]penalty ya Mueller kabana[2]Ozil alikuwa offside kabla ya penalty

kwa maelezo haya tunabalance hayo makosa ya refa kwa kadi? na madhambi 8/16 bila uwiano wa kadi? kwahiyo sheria zinaoperate hivyo?

narudia kadi nyekundu za man city na asernal marefa hawakuwa makini wakaharibu radha na matokeo ya mechi hizo.
 
Kila timu imevuna ilicho panda, hakuna red card iliyotolewa kimakosa isipokua kwa watu wanaoongelea ushabiki.
Enyi Asenali na Man city, mbona hamkushinda mlipokua 11?
 
mkuu ni mtazamo wako, lakini kiwango cha ozil hakijakuwa cha hovyo kwa maana unayoilezea.



Mtakuja kukubali maoni yng tayari mmechelewa!

Tena km atazidi Kua mzembe kwa timu yake ya taifa atakaa bench kwenye world cup!
 
Chelsea alimtoa Barca wakiwa 10 uwanjani, ilimuhitaji Bayern dk 120 plus penalties kuifunga 10 Mens Chelsea. Tatizo ni red card au uwezo?
 
Kila timu imevuna ilicho panda, hakuna red card iliyotolewa kimakosa isipokua kwa watu wanaoongelea ushabiki.
Enyi Asenali na Man city, mbona hamkushinda mlipokua 11?


Unafaham kabla mpira mrefu haujapigwa kwa messi kuna mchezaji aliwekwa chini refa akaifumibia macho tena mbya tu.....

na kwakufumba macho mpira ule kwa messi-red kadi na penati. Angeliona kosa la kwanza ndefu kwa messi isingekuwepo
 
Mtakuja kukubali maoni yng tayari mmechelewa!

Tena km atazidi Kua mzembe kwa timu yake ya taifa atakaa bench kwenye world cup!


sawa mkuu, ieleweke kwamba falsafa ya wenga ni uvumilivu zaidi ya mitazamo ya wengime na kuimiza tim yake.

inawezekana ameshuka kiwango anahitaji kupunzika kidogo na akarejea kiwango chake
 
Chelsea alimtoa Barca wakiwa 10 uwanjani, ilimuhitaji Bayern dk 120 plus penalties kuifunga 10 Mens Chelsea. Tatizo ni red card au uwezo?


Hicho ndio walipaswa City na Arsenal kufanya! Kujituma muda wote!
 
sawa mkuu, ieleweke kwamba falsafa ya wenga ni uvumilivu zaidi ya mitazamo ya wengime na kuimiza tim yake.

inawezekana ameshuka kiwango anahitaji kupunzika kidogo na akarejea kiwango chake

Mpumzisheni! Awe anafanya Mazoezi tu Au anacheza baadhi ya game!

Angalia maamuzi ya Mourinho kwa Mata! Au kwa Ikar Kasilasi! Au Babu Alex kwa Rooney?

Ndio Maana lawama nyingi za Arsenal hua zinamuendea Mzee Wenger!
 
Hata mimi nashangaa sana kwani huyu OZIL anatamba tu mechi ndogo ndogo akipangwa mechi za miamba wanaujua kusakata kabumbu anawekwa mfukoni kama kadi ya refarii. Haoni mastaa wenzake wanavyong'ara mechi zote.

Mkuu huyu Sizinga nimemsamehe kwa kuwa amegundua kosa lake. Hapa hatupapasi soka bali tunalichambua soka kwa ukweli wake sio unazi tu, kwani kila mtu ameona mtu alivyoteswa jana sasa yeye analeta suala la eti fulani ameonewa, haelewekii...
Hao wakina Hazard ndio mastaa wenu wanang'aa mechi zote? Juzi mlipocheza Man Shit alikuwa wapi? Huyo Torres nae allikuwa wapi? Ozil ni mchezaji mzuri na game zote 2(ya Liver na Buyern ndyie alifanya pass nyingi complited) sema anawaumiza sana wewe na mwenzako Ntuzu kubalini tu pale tumelamba dume ingawa sielewi kwanini mnafuata akili za Pundits wenu. Chelsea bado ni team mbovu just matter of time mtakubali hilo.

Blue: Hivi umegundua kosa gani nimelifanya? Mi nashangaa uelewa wako uko sehemu gani unaposema eti wachezaji hao 10 ukiacha kipa ni nyani nilivyosema goalkeeper amekuwa Man of the Match naona kama nabishana na mtu asiyefahamu vizuri mpira au alishawahi kuugua degedege, kwakuwa hata huyo Ntuzu muda mwingine anakuwa na akili zake na anakuchora tu a.ka anaku"mind game".
Jana B. tuliwashika refa akafanya madudu tukafungwa "hizo nyingine ni longolongo tu"
 
Last edited by a moderator:
kwa maelezo haya tunabalance hayo makosa ya refa kwa kadi? na madhambi 8/16 bila uwiano wa kadi? kwahiyo sheria zinaoperate hivyo?

narudia kadi nyekundu za man city na asernal marefa hawakuwa makini wakaharibu radha na matokeo ya mechi hizo.

kama kweli unafikiri RED CARD YA KIPA WA ARSENAL ILIKUWA HAISTAHILI basi nimemaliza huu mjadala.
 
Mpumzisheni! Awe anafanya Mazoezi tu Au anacheza baadhi ya game!

Angalia maamuzi ya Mourinho kwa Mata! Au kwa Ikar Kasilasi! Au Babu Alex kwa Rooney?

Ndio Maana lawama nyingi za Arsenal hua zinamuendea Mzee Wenger!

Wewe Ntuzu mi nashindwa kukuelewa...Faslafa ya Wenger ni "Big Profit Always"...na ndio maana we spent less in January transfer na bado team inafanya vizuri miaka yote, bado kuchukua kombe tu ambapo mwaka huu lazima kabati ling'ae.

We mara zote unamsifia Morinyo huyo manager ni failure na ndio maana amekimbia La Liga, anaspend mihela miingi kwenye usajili koko halafu anashindwa kutwaa Ubingwa(Rej. Real Madrid), hawezi kuwafundisha wachezaji wachanga au wale wa kawaida wawe na viwango bora hawezi. Na ndio maana Manure wameshindwa kumuajiri avae viatu vya AF, coz asingeweza kuwafundisha mpira ile team..yeye anataka watu ambao tayari wako Hot cake halafu ndo anajitapa. He is failure always!!

January yenyewe keshatumia zaidi ya mil 11 euro kwa usajili usio na maana...isitoshe anachemka sana, kamuuza Lukaku kule anang'aa, kamuuza Sturridge kule anang'aa...na sasa anamuuza Ba...hana akili Morinyo.

Bora Arsenal the team that drives itself...hatuna madeni na bado profit kibao JUU....#Mburukenge wote Ntuzu
 
Hao wakina Hazard ndio mastaa wenu wanang'aa mechi zote? Juzi mlipocheza Man Shit alikuwa wapi? Huyo Torres nae allikuwa wapi? Ozil ni mchezaji mzuri na game zote 2(ya Liver na Buyern ndyie alifanya pass nyingi complited) sema anawaumiza sana wewe na mwenzako Ntuzu kubalini tu pale tumelamba dume ingawa sielewi kwanini mnafuata akili za Pundits wenu. Chelsea bado ni team mbovu just matter of time mtakubali hilo.

Blue: Hivi umegundua kosa gani nimelifanya? Mi nashangaa uelewa wako uko sehemu gani unaposema eti wachezaji hao 10 ukiacha kipa ni nyani nilivyosema goalkeeper amekuwa Man of the Match naona kama nabishana na mtu asiyefahamu vizuri mpira au alishawahi kuugua degedege, kwakuwa hata huyo Ntuzu muda mwingine anakuwa na akili zake na anakuchora tu a.ka anaku"mind game".
Jana B. tuliwashika refa akafanya madudu tukafungwa "hizo nyingine ni longolongo tu"


Mourinho alikua na uwezo wakumchukua Ozil na kuja nae Chelsea! Kwasababu alikua nae kule Madrid! Lkn alimuacha! Mzee Anceloti Wa Madrid alivyotua Madrid toka PSG alimwambia wazi Ozil kwamba asipojituma hasa kwenye kukaba na Kua na nguvu hatompanga! Na Bado ktk zile pre-match akawa akipewa Mazoezi na kocha akawa hamalizi! Ndio wakaona wamuuze!

Kwahiyo Wenger alimnunua huku akijua Ozil anashida! Na ndio Maana Wenger amemtengea Ratiba ya kula chakula maalum na Mazoezi yake binafsi! Lkn Bado haoneshi kuimarika!
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu Amekosea pale alipombeza Ozil, hapa kakosea sana.

Nikweli jana hakufanya vizuri lakini Ozil ni mchezaji wa hadhi ya kipekee/yajuu sana, na hapa Ntuzu amenifanya

niwenamashaka pia akawa mshabiki kama wewe unayedakia dakia tu bila ushahidi wowote.
Huyo Ntuzu asikuumize kichwa..mbabe wake nipo hapa...huwa anachemka sana na analysis zake juu ya Ozil na Arsenal..kanywa damu ya darajani huyu
 
Last edited by a moderator:
Mourinho alikua na uwezo wakumchukua Ozil na kuja nae Chelsea! Kwasababu alikua nae kule Madrid! Lkn alimuacha! Mzee Anceloti Wa Madrid alivyotua Madrid toka PSG alimwambia wazi Ozil kwamba asipojituma hasa kwenye kukaba na Kua na nguvu hatompanga! Na Bado ktk zile pre-match akawa akipewa Mazoezi na kocha akawa hamalizi! Ndio wakaona wamuuze!

Kwahiyo Wenger alimnunua huku akijua Ozil anashida! Na ndio Maana Wenger amemtengea Ratiba ya kula chakula maalum na Mazoezi yake binafsi! Lkn Bado haoneshi kuimarika!
Hayo ni maneno ya Pundits...wacha kufuata hizo story...ongea reality...hembu angalia huyo Anchelot alivyokuwa kwenye wakati mgumu na fans wake alipomuuza Ozil...mwenyewe aliwahi kukiri kwamba kuondoka kwa Ozil kulimuumiza na hakuwahi kujua kwamba the Guy hakuwa na furaha inside the club..nakuu"ozil hajawahi kuniambia kwamba hana furaha ndani ya team yangu"...maneno ya Anchelot hayo. "Ancelotti: I think we made a mistake when we gave Özil the possibility to leave the club."

Hata kundoka kwa Ozil pale RM ilikuwa VERY BIG AND SHOCKING BREAKING NEWS IN HISTORY OF FOOTBALL...!! Jitambue Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
Wewe Ntuzu mi nashindwa kukuelewa...Faslafa ya Wenger ni "Big Profit Always"...na ndio maana we spent less in January transfer na bado team inafanya vizuri miaka yote, bado kuchukua kombe tu ambapo mwaka huu lazima kabati ling'ae.

We mara zote unamsifia Morinyo huyo manager ni failure na ndio maana amekimbia La Liga, anaspend mihela miingi kwenye usajili koko halafu anashindwa kutwaa Ubingwa(Rej. Real Madrid), hawezi kuwafundisha wachezaji wachanga au wale wa kawaida wawe na viwango bora hawezi. Na ndio maana Manure wameshindwa kumuajiri avae viatu vya AF, coz asingeweza kuwafundisha mpira ile team..yeye anataka watu ambao tayari wako Hot cake halafu ndo anajitapa. He is failure always!!

January yenyewe keshatumia zaidi ya mil 11 euro kwa usajili usio na maana...isitoshe anachemka sana, kamuuza Lukaku kule anang'aa, kamuuza Sturridge kule anang'aa...na sasa anamuuza Ba...hana akili Morinyo.

Bora Arsenal the team that drives itself...hatuna madeni na bado profit kibao JUU....#Mburukenge wote Ntuzu


Ha ha haaaa! Kweli Wewe ni Wa kusamehe bure!

Pesa haiko kwa kuuza wachezaji tu mukulu! Ktk Hilo umechemka!

Alafu Siitaji sn kukujibu juu ya Mourinho Lkn kwa wale wadau Wa Soccer bila Shaka ukimuweka Mourinho na Wenger basi kura zao wataangushia kwa Mourinho!

Ukimtoa Torres, Eto'o, Lampard, Terry. Hawa waliobaki ni nani alikua na uwezo mkubwa Wa kukaribia Kua star kabla ya kuja Chelsea!

Tukija kwa Lukaku. Tuko na strikers watatu! Torres, Eto'o na Ba. Kwanini tuendelee kumshikilia mchezaji wakati Nafasi ya kucheza Hana na anahitaji kucheza na umri wake ni Mdogo? Lazima umtoe kwa mkopo akapate uzoefu huko kwanza!

Na pia ktk biashara ya kuuza wachezaji ata Chelsea wanaifanya! Tena kwa faida kubwa sn!
 
Nilicho kigundua mimi ni kua ligi ya Uingereza imepongua ule ubora wake wa asili. Sasa ni mwaka wa pili mfululizo wanashindwa kuivusha angalau timu moja kwenye hatua ya nusu fainali, wakati si kawaida yao.
 
Huyo Ntuzu asikuumize kichwa..mbabe wake nipo hapa...huwa anachemka sana na analysis zake juu ya Ozil na Arsenal..kanywa damu ya darajani huyu


Ha ha ha haaaaa! Sizinga

Eti mbabe wangu! Tatizo hutaki kukubali ukweli!

Eti Mwaka huu kabati Lazima ing'ae!!!! Kwa timu gani?

Kocha wako ameanza Kua na Akili! Kaanza muweka Geroud bench baada ya kelele sn! Ata kwa Ozil itafika tu!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom