Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Mkuu sijui wewe wa wapi...hivi hii si ilikuwa baada ya REDCARD ama? Hivi unajua kwanini Wojciech Szczęsny alikuwa man of the match kwenye game dhidi ya Man U?
Game ilikuwa 50/50 but kumbuka mkiwa 11 vs 11 mlipata nafasi kama 2 mkashindwa kuzitumia then mnaanza kutoa kisingizio cha red card,Kabla ya kadi mlipaswa muwe mnaongoza 2-0.Hiyo game na Man United alivyokuwa Man of the match mlishinda goli ngapi? Na ni kipa huyo huyo aliyedaka mlipofungwa magoli 8,magoli 6 then magoli 5