UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
Nadhani ni solution nzuri. Mpira uchezwe Ulaya, mtu avue ngua Tanzania, hata mechi moja hajawahi kwenda kuangali UK. Makubwa.


We acha tu. Kenya hapo walitoana roho kisa liverpool kamfunga Arsenal 5 - 1 juz juzi hapa. huku duniani ukiangalia baadhi ya matendo ya watu ujnamshukuru mungu kwa kutuumba jinsi tulivyo
 
mikazó;8681796 said:
Mara nyini nimekua ni mtu wa kutimiza ahadi zangu ninazoziweka,safari hii ahadi yangu ni kwamba man utd ikicheza uefa mwakani mi nitatembea uchi kwa muda wa siku 3,kutoka ubungo hadi kariakoo
me nitajinyonga
 
mtoa mada wewe una hamu ya kutembea uchi si utembee tu mpaka uitaje man utd?na siku utakayotembea uchi unipe taarifa mapema nikuletee wazee ambao watafurahi kukuona unatembea uchi wao watakusubiria pale magomeni a.k.a makao makuu kuna mzee mlambolea,babu toboatobo na mzee mpendanyuma hao wote toka visiwani zanzibar,lamu na mombasa
 
tunamtakia safari njema..
images

Big like bro....nashukuru sana kwa update pacha wangu!
 
Kwa hasira za kutudharau Tunabeba Kombe lenyewe ndipo mtakapo amua mtimize ahadi zenu au msitimize...

Kuna jamaa moja mdau wa Arsenal alisema Man U tukiifunga Arsenal anajirusha tokea Ghorofa ya sita hadi chini ardhini... tukawachapa nane alishindwa kutimiza ahadi yake hadi leo hii... nyie ongeeni huku hamuielewi vizuri Manchester United... Wenger yeye huwa ana Bet kwa United siku zote...
 
Team za ugenini ndio zinashinda....kuna wingi wa penalt....kila team inajitahid kupiga cape exept at madrid....red card zinatolewa sana..tupia maajabu mengne uliyoona
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom