UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

Pompompo acha kufanansha udsm na vtu vya ajabu wew... Hvyo vyuo vyenu vya din ambavyo mnaenda baada ya kuikosa ud
 
Mimi nilisoma Udsm degree ya kwanza na Masters saut Nyegezi.
Aisee St. Augustino wapo vizuri kuliko udsm. Udsm limebaki jina tu. Hovyo kabisa!
Bora Ww umeongea vizuri, maana huwezi kulinganisha vitu viwili ukiwa huna huelewa wa kutosha juu ya vitu hvyo.
Kila chuo ni kigumu ndy maana huwa kuna wanaofauru na wanashindwa.
 
Bora Ww umeongea vizuri, maana huwezi kulinganisha vitu viwili ukiwa huna huelewa wa kutosha juu ya vitu hvyo.
Kila chuo ni kigumu ndy maana huwa kuna wanaofauru na wanashindwa.
Yes, by the way kumbe kudisco ndo ishara ya chuo kuwa inafundisha vizuri kumbe?
 
Hizi classes ni mbaya sana na je zinamsaidiaje mtanzania wa kawaida?matabaka haya huamia mpaka maofisi na wengine kuanza kudharauliana kutokana na vyuo walivyosoma wengine wakijiona bora kuliko wenhine.

Swala la kujadili ni jinsi ya kuinua Viwango vya Elimu yetu vyuoni angalau hata kwenye vyuo vya tano bora Afrika nasi tuwepo
Huwa najiuliza hivi hawa wanaojiita UDSM huwa wao wanakitu gani cha zaidi chenye ubunifu cha zaidi ambacho kimesababisha maendeleo ya science na technology kwenye nchi hii wakati ambapo hata nyembe tunatengenezewa na wachina .hapa naanza kuwa convinced na wale waliofanya utafiti na kuconlude kuwa watanzania wengi wanatumia akili zao kwa asilimia 1. Akili za kipumbavu kama hizi ni janga kwa taifa ,mtu yeyote awe amesoma UDSM au popote pale mwenyewe akili timamu awezi kukubaliana na huu upuuzi ,mimi kwangu mtu msomi ni yule anayejitambua ,mbunifu, mwenye uwezo wa kupambana na kutatua changamoto zake na za jamii inayomzunguka hivyo taifa kwa ujumla .Msitiwe vichwa na hayo makaratasi yenu mnayoita degree , majengo na ukongwe huo ni upuuzi tu nchi za watu Degree ,masters na PHD ni kitu cha kawaida sana cha muhimu is what do you deliver tu others. Hivyo huo ubabe na ukongwe tunapaswa tuuone kwenye vitendo na si hizo takataka za makaratasi yetu mnayoita degree ngadu nyie .UDSM na SAUT no difference
 
Pompompo acha kufanansha udsm na vtu vya ajabu wew... Hvyo vyuo vyenu vya din ambavyo mnaenda baada ya kuikosa ud
Uko sahihi, 2011 nilifuata mkumbo udsm sasa najuta. Lecture theatre wanafunzi 300 hadi 400 hata prof kusahihisha kazi anaishiwa nguvu.
Saut tulikuwa 15 darasani, na Prof Mwesigwa (x udsm) na Prof Mlambiti (x SUA) walinifundisha. At least unapata muda kuuliza swali na kujibiwa.
Note; Warumi wamejaa wasomi kuliko unavyodhani, wengine hadi wanatoka Ulaya na waliwafundisha hao walimu wa udsm.
 
Hayo ni mambo ya kitoto kutambiana, degree ni degree as long as inatoka kwenye chuo kilichosajiliwa. Bytheway what matters is the application of what one received!!!
You are right it doesn't matter from which university you got that degree what is important is what is in your mind and how do you apply that degree in real life
 
UDSM jina tu "I have living testimonies to defend my statement" nimebahatika ku interact na some of them at my work place nakwambia ni sheeda....! Boss wangu anapenda kuwaita "empty vessels" sasa jiulize kwa nn,,,,?
Waambie vijana hawajui mambo yanaendaje huku maofisini wamekalia porojo tu .Wengi wenu mnasoma bado chuo na wengine isitoshe bado secondary hebu malizane na hizo degree halafu mje huku maofisini muone sisi huku hatuangalii jina la chuo .GPA wala upuuzi wowote note this in your mind we consider competence
 
yaaan ukiona mtu anaitetea SAUT hapa jua anabifu na TCU kwann hakuchaguliwa UDSM sasa kutokana na ufaulu wake akatemwa sasa anawekea bifu UDSM,, yaaan vyuo vyote tanzania vinaipiga vita UDSM,,,, hivo vigezo venu mnavyo vituma kuwa tasisi ya kuteuwa vyuo bora dunian africa na hapa tanzania unadhan hawavion hadi kila siku UDSM inaongoza tena yafatia na SUA mbae ni mjukuu wa UDSM na MUHAMS ambae ni mtoto wa udsm? endeleeni weka chuki tuuu i
 
Wahadhili wa udsm wamebaki Kufundisha siasa tuu na kuwapa madesa wanafunzi wao.. Wanakaririsha tuu wanafunzi aisee.. Hamna kitu tunao Huku Mtaani Kuna mmoja Juzi Kat tumeenda kufanya interview kiingereza ni mtupu kabisa afu mwalimu wa language.
We really need changes ,otherwise we still have a long way to go in our education system and competence of graduates produced in this country
 
Ila Sauti vilaza wamezidi , kuna mtu pale ana graduate hawezi kuandika application letter
 
Matokeo ya form six yakishatoka cream inaenda Udsm , makapi Ndiyo yataenda vyuo vilivyobaki
 
'The University of Dar es Salaam is the University' by Prof Haroub Othman (R.I.P)
Udsm ni ya 7 kwa ubora Africa kwa 2015.
 
Nina wadogo zangu udsm na udom pia. Wa udsm anadai bora angenda diploma.
Lecture wanafunzi 400 utamsikilizaje lectures? Huyo lectures atawezaje kukusaidia usipoelewa? Huyo lectures atasahihishaje mitihani na continous assessment?
Kama kuanzia pre school, primary, sekondary private ndo wanaongoza iweje leo useme vyuo vya umma viko juu na vya binafsi viko chini?
I am confronting you with evidence.
hahahah,mkuu hat kuandika lecturer unashndwa kwel? afu huyo mdogo wako,sina hakika kam kwel atakuw normal.kwan darasan lecturer kufundisha anatumia nin? na anafundisha kwa muda gan au chuo ni kama advance? embu ficha ujinga wako wa kusema umesoma masters.embu kuwa serious kidogo afu jenga hoja zinaeleweka bhan,acha kupoteza muda.
 
Achen mambo ya ajabu mshahara wa degree n ule ule kama umehustle sana kwenye degree yako n ww mwenyew peace kwa watu wote ambao tuna soma vyuo ambavyo havina mambo meng
 
Kila kitu kilichomeguka kutoka udsm leo n bora kulko udsm mfn dit na sua
R.I.P UDSM
 
Back
Top Bottom