UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

Ni maoni na mtazamo wake ila kiukweli udsm is the best one ukilinganisha na sauti
 
Udsm si ndyo inatoa phd ya vilaazaaaa wasiojua kuongea kingeleza
These are isolated cases with an intention and a cause! May be it was Acha amalize aondoke. Lakini mwalimu aliyemfundisha huyo unayemsema??????? wa Kiingereza alikuwa the best student. Buchweishaija was a very good students, with high intelect. Alibakizwa UDSM kufundisha kwa utaratibu ule wa zamani wa GPA 4.5 and above unabaki kufundisha. It was very rare in the Faculty of Science especially Chemistry, physics, Maths
 
This topic bhana shida sana.

Mi nadhani kipimo cha ubora wa chuo ni product plus contribution yake kwenye jamii.
Yaani sijui kwa kutumia hivyo vigezo viwili SAUT wanatoa wapi confidence ya kufananisha UDSM na SAUT.
Jamani let us be realistic, UDSM imepeleka mtu mpaka kuwa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, kuna kina Prof Maina Peter ni mjumbe wa Commission ya sheria ya Umoja wa Mataifa ndo mtu anakufundisha Sheria za kimataifa, Njoo kwenye Environmental law Unakutana na Prof Kabudi, mtu aliyedraft sera na sheria ya Enviromental, nenda kwenye college zingine utakutana na scholars wakubwa tu and etc. And am very sure hata Maprof na Dr wa SAUT ni product ya UDSM.

Jamani Hiyo Product ya SAUT yakuanza kuipambanisha na UDSM hebu tuambieni jamani tuwajue?

NOTE: UDSM mapungufu yapo lakini jamani sio kwa kukibeza kiasi hicho.
 
Udsm si ndyo inatoa phd ya vilaazaaaa wasiojua kuongea kingeleza
IMG-20161223-WA0021.jpg
 
Ni kweli, udsm chuo cha kitoto. Mimi nimesoma saut (masters) na udsm (undergraduate). Saut wako serious acha kabisa!
Mimi nimesoma saut (undergraduate) na udsm (masters). Jaman usdm kukaa na pdof akakupa maujuzi kawaida sana ila pale udsm alikuwepo prof mmoja those days na alikuwa hata akija class ujue kapotea njia hasa undergraduate. Sijui huko masters wanaingia akina nani ndo sijui. wacha tuendelee na hawa maprof wazee hapa udsm ni relactant hao sijawahi ona ila knowledge unaiona kwao na wewe unaona unapata kitu
 
Watu mnabishania degrees utasema zinawapa pesa mtaani
 
Mi huwa naiita vyuo vingine alternative universities.
Huwezi kuta mtoto wa advance ana kazana kusoma eti ili afanikiwe kusoma SAUT. Hii huwa ina kuja baada ya hali halisi ya matokeo tuu
Kina faru john wamesoma hapo na wako empty set UD sio tija. Upstairs ndo kila kitu uwe umesoma ud, ifm au saut
 
Kina faru john wamesoma hapo na wako empty set UD sio tija. Upstairs ndo kila kitu uwe umesoma ud, ifm au saut

Sass Faru John ndio zile product ambazo ziligoma, kama kasoma UD halafu yuko vile angesoma SAUT hali ingekuwa mbaya zaid.

Ki ukweli UDSM ina kila advantage, sema huwa wasio na uwezo hawakosi pia kuwepo hapo.
 
Mbona wewe umebadilisha alichosema? Kwenye instagram naona degree moja ya Saut ni kama degree tano za UDSM na wala sio degree moja ni sawa na tatu za UDSM kama ulivyoandika wewe. Kwa nini umepunguza hizo mbili? Halafu hayo ni maneno ya mpongezaji wala sio huyo dada graduate.

Hivi hakuna tofauti ya neno 'kama' na 'sawa'?

Lugha kama hizi wakati mwingine uchangiwa na inferiority complex.

Ili mjadala huu uende vizuri ni vyema kufahamu sababu ya kusema hivyo halafu tufahamu pia kipimo cha ubora wa degree.
Umenena vyema, gud point, umesoma wap ww?
 
Udsm is the best ,Africa inaingiaa top ten iyoo saut.Mfyyuu
 
Mbona wewe umebadilisha alichosema? Kwenye instagram naona degree moja ya Saut ni kama degree tano za UDSM na wala sio degree moja ni sawa na tatu za UDSM kama ulivyoandika wewe. Kwa nini umepunguza hizo mbili? Halafu hayo ni maneno ya mpongezaji wala sio huyo dada graduate.

Hivi hakuna tofauti ya neno 'kama' na 'sawa'?

Lugha kama hizi wakati mwingine uchangiwa na inferiority complex.

Ili mjadala huu uende vizuri ni vyema kufahamu sababu ya kusema hivyo halafu tufahamu pia kipimo cha ubora wa degree.
UDSM jina tu "I have living testimonies to defend my statement" nimebahatika ku interact na some of them at my work place nakwambia ni sheeda....! Boss wangu anapenda kuwaita "empty vessels" sasa jiulize kwa nn,,,,?
 
endelea kudoubt, siku utakapoamka na kukuta CV Yako ipo mezani kwangu, ndio utapata majibu ya kutofautisha kati ya UDSM na saut

Ungeuliza kwanza kama mimi nimepitia Saut au UDSM. Halafu yawezekana pia CV yako ikaangukia kwenye desk langu pia. Halafu sijaelewa signature yako ("the problem is not me! the problem is you understading me!") kwa sababu sijaona maana ya neno la pili kutoka mwisho kwenye kamusi ya Kiingereza.
 
Wallahi udsm ni majengo tu! Kazi kula desa afadhali hata udom ingawa sijasoma huko
mtu na masters yako,kweli unatoa comment kam hyo? hyo masters uliyochkua ni ya kusomea ujinga.sasa unasema afadhali hata UDOM ingawa hujasoma huko,kweli ndo umefundishwa kuongelea kitu bila kufaham kiko vp?
 
UDSM jina tu "I have living testimonies to defend my statement" nimebahatika ku interact na some of them at my work place nakwambia ni sheeda....! Boss wangu anapenda kuwaita "empty vessels" sasa jiulize kwa nn,,,,?
sio wew ndo umuulize boss wako kwanin?
 
Back
Top Bottom