Nadhani UDSM ni mjukuu anaejisifia na mafaniko ya Babu yake Miaka millioni iliyopita.. Kama vile LiverPool...Habar wakuu kuna post mdada kapost akidai degree moja ya Saut ni sawa na degree tatu za Udsm iv wakuu kuna ukweli hapaView attachment 449583
KweliDegree ni degree tu, ukianza kulinganisha mambo utashangaa, tunakutana na watu wa udsm au udom wakali na wengine weupe hatari, pia hata saut wapo vilaza na wakali tu
Waingereza husema "the devil is in the details". Waswahili husema "kila king'aracho si dhahabu". Hapo pekundu ndo tunaita stori za mtaani na swaga za vijana. Kila chuo kina mazuri yake na mabaya yake kutegemea na malengo ya mtu. Jiulize kwa mfano ukitaka kusomea MD utakwenda wapi UDSM au CUHAS? Journalism? etc. Zakuambiwa changanya na zako-alisema mwenyekiti mmoja wa li chama lile. Kuna mambo UDSM wakopoa zaidi na mengine SAUT wako poa zaidi lakini above all kichwa cha mwanafunzi ndonyenzo kubwa.aiseeee noma sana....lakini ukweli ni kwamba UDSM ni bora zaidi ya SAUT
Kwa wenzenu majuu hutoa pia ligi ya course kwa course na hiyo ndo huwaongoza wanafunzi kuchagua waende wapi. Hata Havard siyo bora kwa kila kitu na kila ufaulu.Udsm kumi bora huwa unaingia katika vyuo bora Africa... SAUT ishahwawi kuwa hata ya 20!?
SawaWaingereza husema "the devil is in the details". Waswahili husema "kila king'aracho si dhahabu". Hapo pekundu ndo tunaita stori za mtaani na swaga za vijana. Kila chuo kina mazuri yake na mabaya yake kutegemea na malengo ya mtu. Jiulize kwa mfano ukitaka kusomea MD utakwenda wapi UDSM au CUHAS? Journalism? etc. Zakuambiwa changanya na zako-alisema mwenyekiti mmoja wa li chama lile. Kuna mambo UDSM wakopoa zaidi na mengine SAUT wako poa zaidi lakini above all kichwa cha mwanafunzi ndonyenzo kubwa.