Hizi mbwembwe tu na anajipa matumaini, achana nae huyo, kingine ww jamaa unatafutwa na polisi maana haiwezekani ujitangaze "unakodisha bunduki" ww utakuwa unawajua wahalifu wote aisee, sema mara moja upo wapi polisi waje wakukamateHabar wakuu kuna post mdada kapost akidai degree moja ya Saut ni sawa na degree tatu za Udsm iv wakuu kuna ukweli hapaView attachment 449583