ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,637
- 57,015
Wanajamii wanajadili Maada kutoka Instagram post ya mtu
Kwa hiyo SUA nayo inajikongoja na inaishi kwa fadhila ya awamu ya nne. SAUT tumekuwa nayo toka lini? 1998 kama sikosei kwako hiyo yote ni awamu ya nne.University ni moja tu! UDSM, MUHAS. BASI VINGINE NI KUJIKONGOJA FADHILA ZA UDHAIFU WA AWAMU YA NNE.
In a strict state with integrity, the rest of the so called Universities will not be in existence
Na saut ipo kwenye hiyo top 20 ? Kwa trend siku zote Udsm huwa inaongoza hata tz kwa list ya vyuo bora afrikaUDSM chuo ambacho mnakiona bora takwimu za mwaka huu hakikuepo ata kwenye top 20 Afrika sasa kina ubora gani?
NO, A BIG NO, SUA IS OK. Ingawa wameanza kuenroll vilaza wengi! Wanaiharibu. SAUT Mwanzoni ilikuwa makini katika udahili, with awamu ya nne, kikawa ndio chuo chenye "millions"!!!!!!????? of students in Tanzania. Walimu waliwapata wapi? ---substandard teachers.....Kwa hiyo SUA nayo inajikongoja na inaishi kwa fadhila ya awamu ya nne. SAUT tumekuwa nayo toka lini? 1998 kama sikosei kwako hiyo yote ni awamu ya nne.
Hata hujui SAUT ilianzishwa lini? Hii inaharibia hayo mengine uliyoyaandika.Udsm ninayoijua mimi au udsm ipi saut chuo cha kata kilianzishwa mwaka 2006
Nina wadogo zangu udsm na udom pia. Wa udsm anadai bora angenda diploma.mtu na masters yako,kweli unatoa comment kam hyo? hyo masters uliyochkua ni ya kusomea ujinga.sasa unasema afadhali hata UDOM ingawa hujasoma huko,kweli ndo umefundishwa kuongelea kitu bila kufaham kiko vp?
Hilo ni kwel kabisa lakin pia hakuna asiyejua udsm na Saut kip chuo bora, hata mama muuza samak mtaan hilo analijua.Hizi classes ni mbaya sana na je zinamsaidiaje mtanzania wa kawaida?matabaka haya huamia mpaka maofisi na wengine kuanza kudharauliana kutokana na vyuo walivyosoma wengine wakijiona bora kuliko wenhine.
Swala la kujadili ni jinsi ya kuinua Viwango vya Elimu yetu vyuoni angalau hata kwenye vyuo vya tano bora Afrika nasi tuwepo
Udsm ni chuo bora tz nzima huwezi compare na saut iliyoanzishwa 2000sNina wadogo zangu udsm na udom pia. Wa udsm anadai bora angenda diploma.
Lecture wanafunzi 400 utamsikilizaje lectures? Huyo lectures atawezaje kukusaidia usipoelewa? Huyo lectures atasahihishaje mitihani na continous assessment?
Kama kuanzia pre school, primary, sekondary private ndo wanaongoza iweje leo useme vyuo vya umma viko juu na vya binafsi viko chini?
I am confronting you with evidence.
VP kuhusu SUA mkuu nacho kinajikongoja?University ni moja tu! UDSM, MUHAS. BASI VINGINE NI KUJIKONGOJA FADHILA ZA UDHAIFU WA AWAMU YA NNE.
In a strict state with integrity, the rest of the so called Universities will not be in existence
Kwa umri saut atamwita udsm babu. Lakini kwa ubora wa taaluma nitakuwa wa mwisho kuamini anayefundishwa kwenye darasa la watu 400 atakuwa bora kuliko anayefundishwa kwenye darasa la watu 25. Unamaanisha nini labda? Avoid sweeping generalization! Njoo na fact mtoto wa kiumeUdsm ni chuo bora tz nzima huwezi compare na saut iliyoanzishwa 2000s
Umsamehe bure. Namfananisha na enzi za mwanafunzi wa MD muhimbili kujiona kichwa sana kuliko KCMC na BMC mbona siku hizi siwasikii tena?Hata hujui SAUT ilianzishwa lini? Hii inaharibia hayo mengine uliyoyaandika.
Swali la msingi ni je wanawalimu wanaofundisha wakutosha wa calibre inayotakiwa? Hapa tujiulize nafasi ya TCU na auditing inayofanywa na TCU kama ni ya kuridhisha. Staff complement ya SAUT iko wazi kwenye Prospectus yao ya 2015-2017 na wamekuwa wanaajiri, wanatrain staff wao na wana part time staff. Pia tukumbuke wana-mapadri wengi wasomi utawaona kwenye staff list yao pamoja na visiting instructors. PhD relatively siyo nyingi kama za vyuo vya zamani but kwa BA na BSc na dhahiri mwalimu mzuri mwenye masters anamudu. Tumesikia pia maprofessor ambao kuonekana darasani ni nadra. All in all ninachosema vyuo Tanzania vinavyostahili kuwepo sio UDSM na MUHAS tu na labda siyo vyote vilivyopo vinastahili kuwepo (kwa mfano yale matawi ya St. Joseph yaliyofungiwa).NO, A BIG NO, SUA IS OK. Ingawa wameanza kuenroll vilaza wengi! Wanaiharibu. SAUT Mwanzoni ilikuwa makini katika udahili, with awamu ya nne, kikawa ndio chuo chenye "millions"!!!!!!????? of students in Tanzania. Walimu waliwapata wapi? ---substandard teachers.....
Umesoma UDSM wewe acha uongoPage ya 12 watu mnajaribu kulinganisha UDSM na SAUT? Seriously? Acheni kuiweka UDSM kwenye mashindano ya kipuuzi ...degree ni degree as long chuo ni accredited na mamlaka husika lakini UDSM ni exceptional. Sijasoma UDSM lakini sipendi kujidanganya penye ukweli na hii wala haibadili thamani ya qualification zangu.
UDSM ila nimeshuhudia michujo ya Saut wakati ikiwa Nyegezi institute na kukutana na baadhi ya graduates wa pale; na hata mazingira ya kusoma.