UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

Mimi nilisoma Udsm degree ya kwanza na Masters saut Nyegezi.
Aisee St. Augustino wapo vizuri kuliko udsm. Udsm limebaki jina tu. Hovyo kabisa!

Mbona sababu na evidence hujatoa ,na kuonesha uhalali wa unachodai na hizo sababu? Au ndivyo ulivyofundishwa hivi huko Saut?
 
Hizi classes ni mbaya sana na je zinamsaidiaje mtanzania wa kawaida?matabaka haya huamia mpaka maofisi na wengine kuanza kudharauliana kutokana na vyuo walivyosoma wengine wakijiona bora kuliko wenhine.

Swala la kujadili ni jinsi ya kuinua Viwango vya Elimu yetu vyuoni angalau hata kwenye vyuo vya tano bora Afrika nasi tuwepo
 
Degree ni degree tu, ukianza kulinganisha mambo utashangaa, tunakutana na watu wa udsm au udom wakali na wengine weupe hatari, pia hata saut wapo vilaza na wakali tu
Hii ndo point ninayoona inafaa, safi mkuu no harst genaralization
 
Mimi nilisoma Udsm degree ya kwanza na Masters saut Nyegezi.
Aisee St. Augustino wapo vizuri kuliko udsm. Udsm limebaki jina tu. Hovyo kabisa!
masterz hawez kuwa mweupe kichwani hivi kaendelee kuuza samaki sengerema;udsm hawez kusoma punguani km ww
 
SAUT<UDSM....kama unajua hesabu utakuwa umeshajua...usipojua utakuwa we ni JUHA
 
Muulizeni huyo dada kaona nini mpaka kasema hivyo. Nyie endeleeni kukaa kwenye historia ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom