UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

Udsm ninayoijua mimi au udsm ipi saut chuo cha kata kilianzishwa mwaka 2006
Inategemea unazungumzia kozi ipi. Kwa kozi zinazohusiana na uandishi wa habari, SAUT hawana mpinzani Tanzania. Pia kwa kozi za uhasibu.
Japo ni kweli kama chuo kikuu SAUT kilianza 2006, lakini kabla ya hapo kilikuwa kinaitwa NSTI yaani Nyegezi Social Training Institute na kilikuwa kinatoa Advanced Diploma yenye hadhi na maslahi sawa na digrii kama ilivyokuwa Mzumbe. Ukikidharau SAUT maana yake ni kuwa wewe ni mtoto mdogo bado hivyo hujui mambo mengi na utasamehewa kwa misingi hiyo.
``
 
Udsm ipambanishwe na Mzumbe wala sio hivyo vyuo vyenu vya theolojia
 
Uzuri wa Saut bhana ukifika shule ujue usha graduate wana kauli ya kuwa Degree harambe, sasa udsm semester ina masomo sita na unaweza rudi home
 
Saut watu wote waliofeli ndo huwa wanaenda huko kukuta divison.one au two saut ni kazi ila 4 na 3 ndo zimejaa mno
 
Na pia kiukwel walimu wa saut hakuna kitu kabisa saut hakuna walimu kabisa wanafundishwa na wanafunzi wenzao tu wenye degree. Au ambao wanachukua masters il usema walimu wa kueleweka hakuna kitu .na pia kuna wingi wa masomo ambao hauna maama mfano unaambiwa usome french na ni lazima
 
Saut watu wote waliofeli ndo huwa wanaenda huko kukuta divison.one au two saut ni kazi ila 4 na 3 ndo zimejaa mno
Hii mpya-SAUT wana vigezo vyao na sio vya TCU? Kuingia chuo hatuangalii division tuna angalia points mtu alizopata na ushindani uliopo baada ya kukidhi vigezo vya TCU. Nashangaa msomi hujui tofauti ya kufaulu na kufeli.
 
Na pia kiukwel walimu wa saut hakuna kitu kabisa saut hakuna walimu kabisa wanafundishwa na wanafunzi wenzao tu wenye degree. Au ambao wanachukua masters il usema walimu wa kueleweka hakuna kitu .na pia kuna wingi wa masomo ambao hauna maama mfano unaambiwa usome french na ni lazima
Huu ulio andika ni uongo dhahiri ingekuwa hivyo TCU wangefungia chuo. Wingi wa masomo si kitu vyuo hupitana. SUA na UDSM ni tofauti na kadhalika vyuo vingine na hii haijawa issue au kwa sababu ni SAUT? Chuo huamua malengo yake-na SAUT kusoma Kiingereza na French kwa course fulani ni lazima. Je kujua French ni majanga au ni faida? Mbona most french speaking countriesn zinafundisha English? Unawaonaje kwenye kazi za kimataifa ? Wenzako wanaona hiyo ni fursa.
 
Back
Top Bottom