UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

hahaha mkuu,mi mefraishwa tuu na jina akooo.ati tunakodisha bundukiiii hahaha
 
Gpa yako ilikuwa ndogo wewe yaaani kabisa MTU na akili zake akasome sauti
 
Hizi classes ni mbaya sana na je zinamsaidiaje mtanzania wa kawaida?matabaka haya huamia mpaka maofisi na wengine kuanza kudharauliana kutokana na vyuo walivyosoma wengine wakijiona bora kuliko wenhine.

Swala la kujadili ni jinsi ya kuinua Viwango vya Elimu yetu vyuoni angalau hata kwenye vyuo vya tano bora Afrika nasi tuwepo
point.
 
Kiuhalisia
Kwa ufundishaji saut is best than ud, lecturers the same japo wanachangia hoja hapo ni namba of dr's maana marev na masister including hawa wa kitaa saut wanao wazur wasiochuja but ud ni mboga iliyokuwa na naz sasa imeongezwa maji mchuz umekuwa mwepesi,
Kuwa bora chuo sio tu taaluma hata mazingira ud mazingira ni condusive than saut hata udo, ranks of elites yaan majina nasio performance ,
Ubora saut uko kwenye utoaji taaluma which doesn't consider ur clever or not maana watu wanasoma

Gpa ya 4 it's because watu wanapiga msuli kama secondary ulaji wa bata saut ni tofaut na ud kwa sababu ya laziness ya lecturers wao na mtiani unakuwa wa wavivu cos wanajua ni wtumishi tu chao kinaingia differ from saut kuanzia mkuu wa chuo wote masiala ni mwiko

Saut utukuke
 
Nilikuwa sielewagi kumbe hata namba ni relative bhana
Yaan moja certainly ni sawa na tano
Mfano Mume mmoja mke mmoja
Sasa tafuta mwanaume alie katika couple yenye mke zaidi moja
Mletee picha au majina ya wake zake let say majina ya wakeze ni a,b,c,d na e
Swali la I "a" ni nani yako. Jibu a ni mke wangu
Swali la II "b ni nani yako. Jibu b ni mke wangu
Swali la III "c" ni nani yako. Jibu c ni mke wangu nenda mpaka five majibu ni hayo hayo
Sasa unakuja kujua kumbe kuna mazingira fulani 1 ni sawa na tano katika muktadha fulani.
Sasa hamisha mazingira hayo kwenye context ya hiyo degree utajua huyo anaeongea ni mutu aliepata degree katika relative way ndio maana anakiri kuwa moja ni sawa na tano
Mkuu cjakupata fresh
 
Yaani nilitaka kuuliza maana vituko vya sauti mmh Ktk idadi ya vyuo kweli imo hebu toka na kadegree kako Ka sauti nje ya nchi ndio utaona katakavyo pigwa buti
Tuulize aisi tuliosoma udsm na saut. Mwanao anasoma shule ya private au government? Ukiugua unaenda hospitali za private au government?
Tulia kabisa dogo hata chuo bado hujafika, maliza necta ya prof ndali kwanza.
 
Mimi nilisoma Udsm degree ya kwanza na Masters saut Nyegezi.
Aisee St. Augustino wapo vizuri kuliko udsm. Udsm limebaki jina tu. Hovyo kabisa!
Daaah
Yaan uamuzi tu wa kusoma MA ya SAUT kwa kweli ni wa kutiliwa hofu, hapo urirudi nyuma hatua 10 zaid
 
Udsm ninayoijua mimi au udsm ipi saut chuo cha kata kilianzishwa mwaka 2006
University ni moja tu! UDSM, MUHAS. BASI VINGINE NI KUJIKONGOJA FADHILA ZA UDHAIFU WA AWAMU YA NNE.
In a strict state with integrity, the rest of the so called Universities will not be in existence
 
Daaah
Yaan uamuzi tu wa kusoma MA ya SAUT kwa kweli ni wa kutiliwa hofu, hapo urirudi nyuma hatua 10 zaid
Tunawaona kwa mfano wale wa Mass Communication wengi wa watangazaji wa hivi vituo vya redio, TV unawaona kuwa they are empty! Most of them are from SAUT. Tunawaona. Kuanzia ITV all the way to rotten Clouds!
 
Back
Top Bottom