UDSM ndiyo chuo pekee Tanzania kati ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora Afrika

Kwenye vyuo bora700 duniani hakimo Kenyatta kipo namba 501

Chuo cha hovyo

USSR
Punguza chuki mkuu, chuo cha hovyo hakiwezi kuwa kwenye Top 50 ya vyuo vikuu bora barani afrika. Maana yake bila udsm tusingekuwa na chuo kinachotuwakilisha kimataifa
 
Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

View attachment 1948231
Ubora wa nini mnaozungumzia? Kuna mambo mengine tunakaa kimya tu maana yanaaibisha akili zetu
 
Naona wadau wanabishana kuhusu vyuo,lakini kumbukeni kusoma chuo fulani chenye jina kubwa hakukufanyi uwe msomi mzuri
 
I'm very disappointed by the UDSM Management kuchapisha habari kama hiyo kwenye tovuti yao manake habari cheap kama hii walitakiwa kuwaachia watu wa mitandaoni!! Hivi wanaona fahari gani kuwa nafasi ya 42 wakati University of Nairobi wapo 13, huku Makerere wakiwa nafasi ya 14?! Hivi ni jambo la kuonea fahari hilo?! Ina maana uongozi wa UDSM unaona mshindani wao ni akina SUA, Mzumbe, na UDOM na sio hao ambao wametupiga gap la kufa mtu? Tena ikiwa UDSM Mkongwe ambae over 90% ya wafanya maamuzi wametoka hapo, wanajiona fahari ipi hata kwa Tanzania kuwa 42 huku SUA wakiwa 51?

Ukisikia siasa kwenye taasisi za elimu, ndo hii sasa!!
 
Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

View attachment 1948231
Hatupingi mkuu ni cha 42 Afrika pigia mstari
 
Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.

The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.

This period falls between mid September and late October in our present day calendar.

Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?

Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.

Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.

Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.

Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.

Kuna kitu kingine nimeona.

Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
Anzisha thread yako juu ya hili…otherwise haupo mahali sahihi
 
Hilo halina ubishi, hicho ndiyo huwa selection ya kwanza kwa kila mhitimu wa A-level ila wanapokataliwa ndiyo huwa wanageuka wapinzani. Udsm ndiyo chuo bora Tanzania
Unauhakika mkuu!!! inategemea na future ya mtu kwa mfano watu wanotak health kichwan chaguo la kwanz ni muhas ikishndkan ndo wanaangalia vyuo vingne
 
Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.

The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.

This period falls between mid September and late October in our present day calendar.

Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?

Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.

Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.

Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.

Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.

Kuna kitu kingine nimeona.

Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
Hujui kuwa Yesu alikwisha kurudi ? Unan'ang'ania siku isiyoweza kukuokoa !!
Kama ulikuwa hujui alirudi siku ya pentekoste Kama roho
 
Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

View attachment 1948231
Kimementain ubora kwa kweli!
 
Back
Top Bottom