GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,133
95% ya wasomi wa sasa hivi wa hasa kuanzia mwaka 2010 mpaka mwaka jana 2022 kichwani hamna kitu, hawajiamini na ujengaji wao wa hoja si tu ni mbovu bali ni wa kimasikini mno kifikra.
Kwa huu uchangiaji wa hawa wasomi (wana vyuo wetu) na wengi wakitokea UDSM ninaouona sasa (mubashara) ITV daima natamani hawa DP World wasiishie tu kuzichukua Bandari zetu zote, Maziwa na Mito yetu pamoja na Vijito hadi Mabwawa yote kama wakitaka, bali watununue na hata sisi Watanzania na Taifa letu la Tanzania liwe lao.
Vyuo Vikuu vya sasa (ukikiondoa tu Chuo Kikuu kilichobarikiwa na Mungu cha SAUT Mwanza) havizalishi Rational and Critical Thinkers bali vinazalisha sana walalamikaji, wakurupukaji na wapenda mihemko katika Mijadala yenye kuhitaji Akili Kubwa kuijadili.
Kwa huu uchangiaji wa hawa wasomi (wana vyuo wetu) na wengi wakitokea UDSM ninaouona sasa (mubashara) ITV daima natamani hawa DP World wasiishie tu kuzichukua Bandari zetu zote, Maziwa na Mito yetu pamoja na Vijito hadi Mabwawa yote kama wakitaka, bali watununue na hata sisi Watanzania na Taifa letu la Tanzania liwe lao.
Vyuo Vikuu vya sasa (ukikiondoa tu Chuo Kikuu kilichobarikiwa na Mungu cha SAUT Mwanza) havizalishi Rational and Critical Thinkers bali vinazalisha sana walalamikaji, wakurupukaji na wapenda mihemko katika Mijadala yenye kuhitaji Akili Kubwa kuijadili.