GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Vije na Utaratibu Maalum wa Kuwatunuku JamiiForums Members na Honoured Doctorates ( PhD ) na hata Uprofesa wa Heshima kutokana na Michango yao mikubwa, ya maana, yenye Tija, Maendeleo na Chachu ya Mabadiliko kwa Ustawi wa Kijamii, Maeneo na Masuala Mtambuka ya ndani na nje ya Tanzania.
Mfano hivi GENTAMYCINE ambaye hapa JamiiForums tu ana Utajiri wa Followers 166 na Mabandiko yake yanasomwa na Mheshimiwa Rais Samia, Wakuu wa Vitengo Nyeti nchini, Wanataaluma, Viongozi mbalimbali, Mabalozi kama Dk. Wilbroad Slaa ambaye alinifagilia TBC1 kuwa I'm his Fan, Wanamichezo, Wanahabari, Vijana, Wasanii, Wachezaji wa Mpira akina Jonas Mkude na Said Ndemla niliyewafundisha Mpira / Fabo / Ndiki Mwenyewe, 75% ya Watu wa TISS na 60% ya Watu wa JWTZ ( hasa CMI ), Makomandoo wakiongozwa na akina Walter na Mhaiki kule 92KJ Sanga Sanga Morogoro, Mademu Warembo JamiiForums, Watu wa Kawaida ila wenye Upeo na bila kuwasahau Mapopoma wakiongozwa na ngeti hivi nikitunukiwa na Moja ya Chuo Kikuu Udaktari wa Falsafa ( PhD ) au Uprofesa ( ambao ndiyo nauona ni Hadhi yangu ) kuna / kutakuwa na Kosa?
Nimejitolea tu Mfano ila naamini wako JamiiForums Members Wengi hapa wenye Michango mikubwa ya Kiuwasilishaji ambao nadhani Uongozi wa JamiiForums na Vyuo Vikuu husika vingekaa na kuangalia namna ya Kuwatunuku ili Kuwaheshimisha pamoja na kwamba tunatumia anonymous identities hapa.
Ni Ombi tu na Maamuzi ni Kwenu Ok?
Mfano hivi GENTAMYCINE ambaye hapa JamiiForums tu ana Utajiri wa Followers 166 na Mabandiko yake yanasomwa na Mheshimiwa Rais Samia, Wakuu wa Vitengo Nyeti nchini, Wanataaluma, Viongozi mbalimbali, Mabalozi kama Dk. Wilbroad Slaa ambaye alinifagilia TBC1 kuwa I'm his Fan, Wanamichezo, Wanahabari, Vijana, Wasanii, Wachezaji wa Mpira akina Jonas Mkude na Said Ndemla niliyewafundisha Mpira / Fabo / Ndiki Mwenyewe, 75% ya Watu wa TISS na 60% ya Watu wa JWTZ ( hasa CMI ), Makomandoo wakiongozwa na akina Walter na Mhaiki kule 92KJ Sanga Sanga Morogoro, Mademu Warembo JamiiForums, Watu wa Kawaida ila wenye Upeo na bila kuwasahau Mapopoma wakiongozwa na ngeti hivi nikitunukiwa na Moja ya Chuo Kikuu Udaktari wa Falsafa ( PhD ) au Uprofesa ( ambao ndiyo nauona ni Hadhi yangu ) kuna / kutakuwa na Kosa?
Nimejitolea tu Mfano ila naamini wako JamiiForums Members Wengi hapa wenye Michango mikubwa ya Kiuwasilishaji ambao nadhani Uongozi wa JamiiForums na Vyuo Vikuu husika vingekaa na kuangalia namna ya Kuwatunuku ili Kuwaheshimisha pamoja na kwamba tunatumia anonymous identities hapa.
Ni Ombi tu na Maamuzi ni Kwenu Ok?