UDSM ndiyo chuo pekee Tanzania kati ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora Afrika

Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

View attachment 1948231
Hii nayo ni sifa? Mbona kinaongoza kwa kila kitu tajeni sifa zote
 
Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

View attachment 1948231
Kwenye vyuo bora700 duniani hakimo Kenyatta kipo namba 501

Chuo cha hovyo

USSR
 
Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.

The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.

This period falls between mid September and late October in our present day calendar.

Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?

Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.

Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.

Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.

Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.

Kuna kitu kingine nimeona.

Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
Haya mahubiri hamishia jukwaa la dini huku umepotea mkuu
 
Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.

The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.

This period falls between mid September and late October in our present day calendar.

Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?

Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.

Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.

Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.

Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.

Kuna kitu kingine nimeona.

Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
Kijana wa bi Hellen White
 
Cha ajabu wahitimu wa hicho chuo mtaan na kazini tulionao ni mabogasi sio kidogo hata kuandika baruanya kikazi wanambwela. Kuandika research pepa ndo wanazingua.
 
Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

View attachment 1948231
UNESCO inadai wahitimu wetu hawatoshelezi mahitaji ya soko kitaaluma, wako chini ya viwango.
 
Back
Top Bottom