UDSM: GPA ya Maalimu Seif Sharifu Hamad

UDSM: GPA ya Maalimu Seif Sharifu Hamad

Political Science kukosa GPA kama hizo ni kosa la jinai, somo lenyewe siasa kila mtu anaweza, sasa kama prof J, wema na uwoya wanapiga politics, utashindwa vipi kupata 5.9 GPA.

Hiyo GPA ni ya sayari ya mars hapa duniani haipo kajaribu kuondoa ujinga
 
4.4 ni first mjomba

Ni kweli kuna printing error nimeconfirm chuoni hope nitarudisha chuo! Kweny transcript inaonesha first class cheti kinaonyesha upper second sikuwa makini sana kulinganisha
 
Pascal Ndege correction first ni 5.0 mpk 4.4, 4.3-3.8 upper second na kurudi nyuma...Thats how S.U.A wana grade na nahisi its universal kwa vyuo vya serikali apa bongo

Ni kweli kuna printing error nimeconfirm chuoni hope nitarudisha chuo! Kweny transcript inaonesha first class cheti kinaonyesha upper second sikuwa makini sana kulinganisha
 
Last edited by a moderator:
Na GPA zenu zote hizo lakini JK ndiye rais wenu. Endeleeni kuendekeza hizo GPA zenu wakati wenzenu wanaoiga GPA za maisha.
 
Political Science kukosa GPA kama hizo ni kosa la jinai, somo lenyewe siasa kila mtu anaweza, sasa kama prof J, wema na uwoya wanapiga politics, utashindwa vipi kupata 5.9 GPA.

Dhubutuuuu kamuulize nape alipata ngapi civics tu ya olevel
 
Political Science kukosa GPA kama hizo ni kosa la jinai, somo lenyewe siasa kila mtu anaweza, sasa kama prof J, wema na uwoya wanapiga politics, utashindwa vipi kupata 5.9 GPA.

Acha wivu wewe unawadhalilisha ule mrengo wako kila mtu aperceive wako kama wewe.
GPA of 4.9 chuo inareflect uwezo ndio maana kuna rais hapa alipata 2.1 masomo hayo hayo ya arts
 
Political Science kukosa GPA kama hizo ni kosa la jinai, somo lenyewe siasa kila mtu anaweza, sasa kama prof J, wema na uwoya wanapiga politics, utashindwa vipi kupata 5.9 GPA.
GPA ya 5.9 ????

Hivi huko shuleni mnaendaga kusomea ujingaa??
 
Sikubahatika kuisikia hii GPA ya Maalim Seif, ila naifahamu GPA ya kiongozi fulani, alipata 1.9 ila baraza la seneti ya UDSM lina mamlaka ya kuongeza hadi two points, hivyo akaongezewa points zake mbili akatoka na GPA ya 2.1.

ila pia rekodi ya GPA ya juu kabisa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, bado inashikiliwa na Prof. Palamagamba Kabudi, alipiga GPA ya 5.0!, funga kazi!.

Mimi pia nilipita UDSM ila sikubahatika kupata GPA yoyote kwa sababu ile najiunga tuu mwaka nilizungusha kabla GPA hazijatoka!.

P.
ulizungusha nini, shanga au!
 
Back
Top Bottom