MIDFIELD
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,944
- 703
Political Science kukosa GPA kama hizo ni kosa la jinai, somo lenyewe siasa kila mtu anaweza, sasa kama prof J, wema na uwoya wanapiga politics, utashindwa vipi kupata 5.9 GPA.
Stroke unaakili sana. huo ndo ukweli. tena hiyo gpa ya 4.8 ni ndogo sana kwa political scince. ingekuwa engineering, md angalau ningesema ni kichwa. big up stroke