CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,529
GPA ZA UDSM SI MCHEZO
98IQ yake ngapi?
Ukipitia thread kama hii, ndio utagundua watu wengi hua wanajitapa wamefika mpaka chuo kikuu, kumbe ni uongo wote wengi hawajafika vyuo, na utakuta wengi wanajitapa wamesoma UDSM kumbe vilaza tu, ANGALIA COMMENTS ZAO HAWAJUI HATA GPA zina range vipi wanalopoka, shame on you shenzi kabisa
Political Science kukosa GPA kama hizo ni kosa la jinai, somo lenyewe siasa kila mtu anaweza, sasa kama prof J, wema na uwoya wanapiga politics, utashindwa vipi kupata 5.9 GPA.
Hata GPA ya 32 inawezekana kabisaPolitical Science kukosa GPA kama hizo ni kosa la jinai, somo lenyewe siasa kila mtu anaweza, sasa kama prof J, wema na uwoya wanapiga politics, utashindwa vipi kupata 5.9 GPA.