mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,170
bana alsoma akiwa mtu mzima maana alianzia ualimu wa secondary tu.
UD kuna vijana pale School of Law walilamba vyote (GPA 5). Na hii 4.8 kwa sasa ni kama mchezo tu. Kule Telecom Engineering vijana wanazipiga sana hizi. Kuna kijana yupo TCRA hapo alipiga hii GPA na ni kichwa sana.
Inaonekana wewe hujui hata GPA ni kitu gani tatizo kushinda chumba cha madrasa asubuhi hadi jioni.
Tatizo lake ana uchu wa madaraka ndio maana Nyerere akamtosa
Hi ilivunjwa kitambo na watu wengi tu.
1994 Dr. Benson BANA alifagia kila kitu!!!
Kumuoa inabidi uwe kichwa wa maisha, ni zaidi ya kichwa wa masomo ndio utamuweza.Duh huyo haoleki maana ni shida nyingine duniani! Haya masomo mpaka upate first class lazima unalala library
Hi ilivunjwa kitambo na watu wengi tu.
1994 Dr. Benson BANA alifagia kila kitu!!!
Unaweza kua na GPA ya 4.8 halafu ukawa na IQ below 70, bongo inawezekana.
Wewe ni mshamba kwelikweli. GPA haina uhusiano wowote na siasa. Si onawaona Ma-prof wengi wanaingia ulingoni wanachemka?
Duh huyo haoleki maana ni shida nyingine duniani! Haya masomo mpaka upate first class lazima unalala library
Sikubahatika kuisikia hii GPA ya Maalim Seif, ila naifahamu GPA ya kiongozi fulani, alipata 1.9 ila baraza la seneti ya UDSM lina mamlaka ya kuongeza hadi two points, hivyo akaongezewa points zake mbili akatoka na GPA ya 2.1.Napenda kuuuliza hili kwa wanafunzi waliyowahi kusoma BA university of Dar es slaam kama kuna mtu ambaye amemaliza BA nakupata GPA zaid Maalimu Seif!
Kwasababu miaka ya 2008 ilikuwa kwenye record ambayo haikuwahi kuvunjwa na mtu!
Hi ilivunjwa kitambo na watu wengi tu.
1994 Dr. Benson BANA alifagia kila kitu!!!
IQ yake ngapi?
Hi ilivunjwa kitambo na watu wengi tu.
1994 Dr. Benson BANA alifagia kila kitu!!!
Jamaa kichwa sana....Mwalimu Nyerere alimwandaa vizuri sanaa Maalim Seif...
His IQ is clearly the best and unquestionable...!!!
grade point average (GPA)
First Class 5 to 4.5
Upper second 4.4 to 3.5
Lower second 3.4 to kwingine huko kwa vilaza.